Humphrey Polepole aelezea sababu za Kibeberu ya nchi moja kufunga ubalozi

Mama akija kushituka, itakuwa imekula kwake.

Mama anaaminishwa Mbowe na CHADEMA ndio maaduii wake, kumbe maadui wake wamo humo humo katika chama chake na serikali yake.
Samia hafai kuwa Rais.Kwanza ni Rais wa bahati mbaya.
 
Mkuu 'Bagamoyo', haya uliyoandika hapa ni mawazo yako, au una'paraphrase' aliyoyasema Polepole?

Ni vigumu sana kuamini kwamba Polepole atakuwa amejichanganya kiasi chote hiki!

Unajua mtu akitoa lecture kama hapa anavyofanya Humphrey Polepole sisi wasikilizaji pia bongo zetu zinadadavua na kufikiria nje ya box , na ndiyo haya niliyoyaona wakati Polepole anatoa muhadhara wake wa kisomi kuwapumbaza wana CCM .

 
Kama kwenye chama chako hawapo watu wenye mawazo huru usilazimishe na kwingine wasiwepo

Ccm wapo wengi sana, kuanzia kina mzee Warioba hadi kina Polepole.
Warioba yupo kiwiliwili tu ndani ya CCM.

Huyo Popole niamjua kama taka taka tu toka siku nyingi.
Watu kama wewe ndio hamjui maana ya "misimamo" ni nini. Misimamo yake wakati wa Katiba ya Warioba na wakati wa Magufuli hadi sasa unaiona kuwa sawa?

Halafu usinilazimishe nikuone kama mpuuzi fulani kwa kulazimisha niwe na "chama changu", ulinianzishia chama lini?
 
Polepole mwenyewe alishakufanga kipindi cha tume ya warioba huyu nadhani ni mwingine labda wamemfanyia cloning
 
Wewe ni moja ya nyumbu zinazoharibu nafasi ya JF kwenye siasa za TZ,

Nikikuuliza una ushahidi wowote juu ya madai ya Warioba kubaki kiwiliwili huko CCM unaweza kujibu?

Mumejazana speculations na assumptions na mnajiaminisha ni ukweli!

Kuhusu Polepole, huwezi kumwelewa kama huna thinking capacity ya kueleweka.
 
Polepole wewe ni kichaa Kama Manara. Pole sana 2025 you will be unemployed. Imbecile little pig!
 
Nimeamini huyu ndiye aliyekuwa mshauri mkuu wa awamu ya 5.
 
He is a moron, good thing 2025 hata kuwa na kazi. Huyu jamaa na msimamo wake wa chanjo awekwe ndani. He is a dangerous guy. He belittles the speaker and other very senior officials, Ndungai fukuzeni Huyu kijana. JPM ha yupo tena. He sets up a very poor example to the youth.
 
Denmark pamoja na nchi za Nordic zimefanya mengi hapa nchini kimaendeleo.

Na hazikuwahi kutawala nchi yoyote kama koloni.

Hivyo kuwaita mabeberu si tu ujinga wa kukosa elimu bali ukosefu wa hekima kiujumla.
Nakuunga mkono... Hii nchi kuna baadhi ya watu huwa nashindwa kujua walipewaje nafasi za uongozi. Denmark kwa wasiojua wametusaidia mambo mengi sana kwa sekta mbalimbali kama: Misitu, Elimu, vyuo vya ufundi (NVTC enzi hizo na sasa VETA) na nyingine nyingi sana kupitia shirika lao la DANIDA... hii ilikuwa kuanzia miaka ya 1970 na kuendelea.... Vijana hawa wa juzi wanaweza wasijue lakini ukweli ni kwamba hawa DANIDA, kama ilivyokuwa kwa NORAD (shirika la misaada ya maendeleo kutoka nchi ya Norway), SIDA ni la Sweden na wengine wamekuwa na mchango mkubwa sana kwetu.
 
Nimeamini huyu ndiye aliyekuwa mshauri mkuu wa awamu ya 5.
Polepole u don’t need a physical presence in country, Denmark is one of the progressive countries in the world. Technologies, they can be anywhere and still do business with us. Wewe kijana una akili ya kuku. Your views are dangerous you should be locked up and not locking up Mbiwe.
 
Mama akija kushituka, itakuwa imekula kwake.

Mama anaaminishwa Mbowe na CHADEMA ndio maaduii wake, kumbe maadui wake wamo humo humo katika chama chake na serikali yake.
Inaonekana huyo mama yenu uwezo wake binafisi kifikra upo chini sana.
 
Amekuwa kama Kigogo2014
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…