Samia hafai kuwa Rais.Kwanza ni Rais wa bahati mbaya.Mama akija kushituka, itakuwa imekula kwake.
Mama anaaminishwa Mbowe na CHADEMA ndio maaduii wake, kumbe maadui wake wamo humo humo katika chama chake na serikali yake.
Hakuna raisi wa bahati mbaya kigogo2014Samia hafai kuwa Rais.Kwanza ni Rais wa bahati mbaya.
Mkuu 'Bagamoyo', haya uliyoandika hapa ni mawazo yako, au una'paraphrase' aliyoyasema Polepole?
Ni vigumu sana kuamini kwamba Polepole atakuwa amejichanganya kiasi chote hiki!
Deslauriers said, the study shows that it’s important to ensure that neither instructors nor students are fooled into thinking that lectures are the best learning option...Source : Study shows that students learn more when taking part in classrooms that employ active-learning strategies
Warioba yupo kiwiliwili tu ndani ya CCM.Kama kwenye chama chako hawapo watu wenye mawazo huru usilazimishe na kwingine wasiwepo
Ccm wapo wengi sana, kuanzia kina mzee Warioba hadi kina Polepole.
Ewaaaaa swali kuntu... Nami nasubiri jibu hapa...Ameongea kama nani?
Wewe ni moja ya nyumbu zinazoharibu nafasi ya JF kwenye siasa za TZ,Warioba yupo kiwiliwili tu ndani ya CCM.
Huyo Popole niamjua kama taka taka tu toka siku nyingi.
Watu kama wewe ndio hamjui maana ya "misimamo" ni nini. Misimamo yake wakati wa Katiba ya Warioba na wakati wa Magufuli hadi sasa unaiona kuwa sawa?
Halafu usinilazimishe nikuone kama mpuuzi fulani kwa kulazimisha niwe na "chama changu", ulinianzishia chama lini?
Polepole wewe ni kichaa Kama Manara. Pole sana 2025 you will be unemployed. Imbecile little pig!Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu
Nimeamini huyu ndiye aliyekuwa mshauri mkuu wa awamu ya 5.Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu
He is a moron, good thing 2025 hata kuwa na kazi. Huyu jamaa na msimamo wake wa chanjo awekwe ndani. He is a dangerous guy. He belittles the speaker and other very senior officials, Ndungai fukuzeni Huyu kijana. JPM ha yupo tena. He sets up a very poor example to the youth.Wewe ni moja ya nyumbu zinazoharibu nafasi ya JF kwenye siasa za TZ,
Nikikuuliza una ushahidi wowote juu ya madai ya Warioba kubaki kiwiliwili huko CCM unaweza kujibu?
Mumejazana speculations na assumptions na mnajiaminisha ni ukweli!
Kuhusu Polepole, huwezi kumwelewa kama huna thinking capacity ya kueleweka.
Nakuunga mkono... Hii nchi kuna baadhi ya watu huwa nashindwa kujua walipewaje nafasi za uongozi. Denmark kwa wasiojua wametusaidia mambo mengi sana kwa sekta mbalimbali kama: Misitu, Elimu, vyuo vya ufundi (NVTC enzi hizo na sasa VETA) na nyingine nyingi sana kupitia shirika lao la DANIDA... hii ilikuwa kuanzia miaka ya 1970 na kuendelea.... Vijana hawa wa juzi wanaweza wasijue lakini ukweli ni kwamba hawa DANIDA, kama ilivyokuwa kwa NORAD (shirika la misaada ya maendeleo kutoka nchi ya Norway), SIDA ni la Sweden na wengine wamekuwa na mchango mkubwa sana kwetu.Denmark pamoja na nchi za Nordic zimefanya mengi hapa nchini kimaendeleo.
Na hazikuwahi kutawala nchi yoyote kama koloni.
Hivyo kuwaita mabeberu si tu ujinga wa kukosa elimu bali ukosefu wa hekima kiujumla.
Kama raia....Au umemnyang'anya uraia wake?Ameongea kama nani?
Hii nchi ina vilaza wengi sana, ndiyo maana Mwl Nyerere naendelea kumkubali mpaka kesho kwamba UJINGA ni shida kubwa sana kuliko zote hapa Bongo...Polepole katoa shule nzuri sana, narecommend watu kuangalia video yote
Polepole u don’t need a physical presence in country, Denmark is one of the progressive countries in the world. Technologies, they can be anywhere and still do business with us. Wewe kijana una akili ya kuku. Your views are dangerous you should be locked up and not locking up Mbiwe.Nimeamini huyu ndiye aliyekuwa mshauri mkuu wa awamu ya 5.
Inaonekana huyo mama yenu uwezo wake binafisi kifikra upo chini sana.Mama akija kushituka, itakuwa imekula kwake.
Mama anaaminishwa Mbowe na CHADEMA ndio maaduii wake, kumbe maadui wake wamo humo humo katika chama chake na serikali yake.
Amekuwa kama Kigogo2014Ni maslahi gani ambayo Denmark (walioisaidia Tanzania tangu uhuru) wamebanwa kuyapata hadi waamue kufunga ubalozi? Kwamba nchi nyingine zote ambako hawajafunga balozi zao hawajabaniwa kupata maslahi kama walivyobanwa Tanzania? Huyu jamaa na stori zake za kijinga anakera sana!