Humphrey Polepole Kuzungumza na Waandishi wa Habari kesho Oktoba 8, saa 8 Mchana

Humphrey Polepole Kuzungumza na Waandishi wa Habari kesho Oktoba 8, saa 8 Mchana

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Tuna Jambo Letu Kesho Saa 8 Mchana

Uskose wakiweka uongo tunaweka ukweli wote
FB_IMG_16020882431719050.jpg
 
Sasa si walimfungia au mtu akienda kufanya manunuzi kariakoo lazima polepole ajibu?
Kuna watu huji nasibu ni PHD holder lakini nafikiri wali piga kiboot. Maana hawa fikirii impact za maamuzi yao. Sasa CHADEMA ina watesa kuliko wange muacha Lissu aendelee na kampeni zake mwenyewe.
Sasa tume, polisi, CCM yenyewe wana mpigia Lissu kampeni bila kujijua.
 
Back
Top Bottom