Kiiiingggggg kiiiiingggg kiiingggg karibu tena jamvini. Nilikuanzishia hadi uzi Mbona umepotea? Dah Kiiiing. Vipi hupo minjingu nini unachoma mkaa??Huyo Chakubanga mbona anafanya mikutano kila siku? Kwanini asifanye mkutano mmoja tu akatulia? Yeye kila siku ni kuita waandishi wa habari as if waandishi hawana habari nyingine muhimu.
Kiiiinggg