Humphrey Polepole Kuzungumza na Waandishi wa Habari kesho Oktoba 8, saa 8 Mchana

Humphrey Polepole Kuzungumza na Waandishi wa Habari kesho Oktoba 8, saa 8 Mchana

Huyo Chakubanga mbona anafanya mikutano kila siku? Kwanini asifanye mkutano mmoja tu akatulia? Yeye kila siku ni kuita waandishi wa habari as if waandishi hawana habari nyingine muhimu.
Kiiiingggggg kiiiiingggg kiiingggg karibu tena jamvini. Nilikuanzishia hadi uzi Mbona umepotea? Dah Kiiiing. Vipi hupo minjingu nini unachoma mkaa??

Kiiiinggg
 
Slowslow Hana mvuto wa kisiasa.Sijui wanao mtuma kama wanalijua hili!
 
Huyo Chakubanga mbona anafanya mikutano kila siku? Kwanini asifanye mkutano mmoja tu akatulia? Yeye kila siku ni kuita waandishi wa habari as if waandishi hawana habari nyingine muhimu.
Tatizo hao waandishi wa habari ata hawamuulizi maswali ya maana.
Ndio maana anapendelea kuita press.

Siku wakimchapa maswali mbona atatupumzisha na press zake.
 
Yule kiongozi wao Anaenda kununua Ndizi na kukata tiketi kesho.

Trash.
 
Kiiiingggggg kiiiiingggg kiiingggg karibu tena jamvini. Nilikuanzishia hadi uzi Mbona umepotea? Dah Kiiiing. Vipi hupo minjingu nini unachoma mkaa??

Kiiiinggg
Hahahaaa King Kong Ilala Ilala La Familia yaani mikono mfululu yani pa papa papaaa wamekaaaaaaaa!! Ebwana nilikuwa sipo hewani kitambo ndio maana sijaiona hiyo thread ,nipo Minjingu Mkuu bado tunachoma Mkaa.
 
Tatizo hao waandishi wa habari ata hawamuulizi maswali ya maana.
Ndio maana anapendelea kuita press.

Siku wakimchapa maswali mbona atatupumzisha na press zake.
Hahaa ni kweli mkuu inatakiwa achapwe maswali KONKI ya kuumiza kichwa!!
 
Tuna Jambo Letu Kesho Saa 8 Mchana

Uskose wakiweka uongo tunaweka ukweli woteView attachment 1593297
Huyu naye asituchoshe buaana
Nanyi waandishi wa habari ushwazi mnakosa kazi kweli kweli mnazungushwa kama sufuria kwenye mafiga
Unakuja kutuambia nini...uchaguzi mmeahirisha mpaka 2040 au nini maana NEC policcm katibu mwenezi diwani muosha kila mmoja anakuja na matamko yamepinda ilimradi tu

Huku kampeni Jumapili tunaanza hiyo inaitwa lala salama Tukutane ng'ambo ile
 
Halafu unakuta anaongea porojo na kupiga tu vijembe kuanzia mwanzo wa huo mkutano mpaka mwisho. Wana moyo hao waandishi watakao kwenda kumsikiliza.
Waandishi wanafuata bahadha za kaki..hiki ni kipindi cha mavuno
 
Na kanavyochukiwa hako kamzee sura Kama BIG G iliyovutwa
 
Wengi humu jf wanaonesha kuumizwa na utawala wa JPM na hi ni kutokana na kuzoea vya bure,hawataki kuamuni kua mambo yamebadirika sasa,izi sio zama za wapiga dili
Watanzania wote si wapiga dili isipokuwa wewe tu.
 
Chakubanga hata hapa lumumba buku 7 tumemchoka atulipe malimbikizo yetu.
 
Back
Top Bottom