Humphrey Polepole Kuzungumza na Waandishi wa Habari kesho Oktoba 8, saa 8 Mchana

Humphrey Polepole Kuzungumza na Waandishi wa Habari kesho Oktoba 8, saa 8 Mchana

Hiiiiiiiiiiii.
JamiiForums723674951_720x402.jpg
 
Mambo muhimu katika mkutano wa ....

Kwanini wananchi na wanahabari wanamtajataja sana Lissu.

Kwanini Lissu kaenda Kariakoo hiyo ni sehemu ya kampeni

Kwanini Lissu kapanda mwendo kasi hiyo ni sehemu ya kampeni

Kwanini Mimi katika mkutano wangu na wanahabari (press conference) namtaja Lissu hii ni sehemu ya kampeni.

Hakuna namna Lissu angebaki nyumbani na mke wake lakini pia itakuwa sehemu ya kampeni.
 
Kwahiyo Polepole ni katibu wa NEC?au mimi sijasoma vizuri
 
Chakubanga na Mzee Meko mwenyewe wamekosa mvuto sana.

Meko kapauka hadi kachakaa.
Weight imekata sn mzee ukichukua picha yake hii inayombaa ya kampeni amepiga kijani huku amishikanisha mikono ishara ya shukrani na uchukue ya leo hata hii ya kumpokea rais wa Malawi.... Utasema mtu na babu yake

Dingi rai kapauka kinyama
 
Pale block 41 Morocco alipokulia familia yao ilikuwa imejitenga sana..Huyu muhamiaji haramu
 
Back
Top Bottom