Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Kwa hiyo Chakubanga halipi kwa wakati?🤣🤣🤣Chakubanga hata hapa lumumba buku 7 tumemchoka atulipe malimbikizo yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Chakubanga halipi kwa wakati?🤣🤣🤣Chakubanga hata hapa lumumba buku 7 tumemchoka atulipe malimbikizo yetu.
Sema dawa ya mbogamboga,hata wadudu was kwenye mbogamboga wakimsikia mbiooo.Mropokaji ni Tundu a.k.a Domo Kaya
Watazifanya Sana,hata kwa kutumia chopa kutoka angani ili wasikike,kwani hatuwasikii Wala kuwaelewa.Too much press conference mpaka zinaboa
Sio kwl unataka kusema "serikali ya CCM kuweka makato ya 15%Kweny mshahara wa mtanzania wa 380000.ambae ni kijana mtoto wa maskini aliemalza chuo ni Sahihi? Huyu mtoto ataishije?Wengi humu jf wanaonesha kuumizwa na utawala wa JPM na hi ni kutokana na kuzoea vya bure,hawataki kuamuni kua mambo yamebadirika sasa,izi sio zama za wapiga dili
Hiki kizeeTuna Jambo Letu Kesho Saa 8 Mchana
Uskose wakiweka uongo tunaweka ukweli woteView attachment 1593297
Halafu unakuta anaongea porojo na kupiga tu vijembe kuanzia mwanzo wa huo mkutano mpaka mwisho. Wana moyo hao waandishi watakao kwenda kumsikiliza.
Wana roho mbaya kama wachawi,kuua kwao sio tatizo kama maslahi yao binafsi yanatishiwa!Sio kwl unataka kusema "serikali ya CCM kuweka makato ya 15%Kweny mshahara wa mtanzania wa 380000.ambae ni kijana mtoto wa maskini aliemalza chuo ni Sahihi? Huyu mtoto ataishije?
Je nae ni mpiga dili?
Unadhani mfumo wa ambush kwa watu walioikosoa mamlaka kwa nia njema ya kujenga nchi walikua wapga dili?
Je mfumo wa kua na Sera zilizoteketeza private sekta . mtu akalisemea hili. Je atakua mpiga dili?nk nk.
Watu mnaofaidika na mfumo huu mumekua na Roho mbaya hata hamuoni watoto wa maskini wanavyotaabika!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
yaani huyu mnafki yuko tayari hata kumshikia mwanaume mwenzake miguu, anajipendekeza mno!.Hiiiiiiiiiiii.View attachment 1593372
Ukisikia paa...😂😂Punguza porojo
Muongo namba moja ni huyuTuna Jambo Letu Kesho Saa 8 Mchana
Uskose wakiweka uongo tunaweka ukweli woteView attachment 1593297
Huyu jamaa hawezi ata kupanda jukwaani?Tuna Jambo Letu Kesho Saa 8 Mchana
Uskose wakiweka uongo tunaweka ukweli woteView attachment 1593297