Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Mropokaji ni Tundu a.k.a Domo KayaMropokaji wa kiwango cha moram
Too much press conference mpaka zinaboaTuna Jambo Letu Kesho Saa 8 Mchana
Uskose wakiweka uongo tunaweka ukweli wote
Yote haya ni kwa vile ana wamudu 'kiboko yenu'Hii nafasi imemshinda polepole
Kakumbushane na vitobo wenzioUshampikia mumeo? Angalia usije kupunguza mboga
Anakuboa kwa sababu huwaanikaToo much press conference mpaka zinaboa
[emoji869]Kakumbushane na vitobo wenzio
Kuna watu huji nasibu ni PHD holder lakini nafikiri wali piga kiboot. Maana hawa fikirii impact za maamuzi yao. Sasa CHADEMA ina watesa kuliko wange muacha Lissu aendelee na kampeni zake mwenyewe.Sasa si walimfungia au mtu akienda kufanya manunuzi kariakoo lazima polepole ajibu?