Badala uzungumzie chama chao kitawafanyia nini watanzania ili wapate unafuu wa maisha,Hii nafasi imemshinda polepole
Babu ukimwi unampeleka puta aise[emoji3]Tuna Jambo Letu Kesho Saa 8 Mchana
Uskose wakiweka uongo tunaweka ukweli wote
Halafu unakuta anaongea porojo na kupiga tu vijembe kuanzia mwanzo wa huo mkutano mpaka mwisho. Wana moyo hao waandishi watakao kwenda kumsikiliza.Too much press conference mpaka zinaboa
Huyo Chakubanga mbona anafanya mikutano kila siku? Kwanini asifanye mkutano mmoja tu akatulia? Yeye kila siku ni kuita waandishi wa habari as if waandishi hawana habari nyingine muhimu.Tuna Jambo Letu Kesho Saa 8 Mchana
Uskose wakiweka uongo tunaweka ukweli wote
Makonda wa CCMHuyo Chakubanga mbona anafanya mikutano kila siku? Kwanini asifanye mkutano mmoja tu akatulia? Yeye kila siku ni kuita waandishi wa habari as if waandishi hawana habari nyingine muhimu.
Ni mtu asiye na aibu na hawa wapo kwenye line ya the Hague pamoja na mkuu wao.Tuna Jambo Letu Kesho Saa 8 Mchana
Uskose wakiweka uongo tunaweka ukweli wote
Vipi hilo tobo hapo nyuma tukuzibe?Kakumbushane na vitobo wenzio
Weight imekata sn mzee ukichukua picha yake hii inayombaa ya kampeni amepiga kijani huku amishikanisha mikono ishara ya shukrani na uchukue ya leo hata hii ya kumpokea rais wa Malawi.... Utasema mtu na babu yakeChakubanga na Mzee Meko mwenyewe wamekosa mvuto sana.
Meko kapauka hadi kachakaa.
He bores me stiffly.Tuna Jambo Letu Kesho Saa 8 Mchana
Uskose wakiweka uongo tunaweka ukweli woteView attachment 1593297
Mtangazo hadi chooni bado tu anaitisha press.TAL anakimbiza balaa. NEC wafuatilie huu mkutano wa Polepole,,,atakuwa anamfanyia kampeni TAL,maana atamtaja mara nyingi kuliko atakavyomtaja Magu