Humphrey Polepole: Shule ya Uongozi

Humphrey Polepole: Shule ya Uongozi

Mheshimiwa Sana,Ni kigeugeu na msaliti, wakati alipokuwa Tume ya Warioba nilimuelewa Sana, lakini alipoteuliwa kwenye system ya awamu ya tano akapiga U-turn,awamu ya sita amepiga around-turn, inabidi ajipambanue msimamo wake na ajitafakari.
Msimamo wa machalii wa CCM ni kwamba akiwa kwenye food chain ya CCM anapaki akili yake na kugeuka mpambe wa System ilioko madarakani ila akikatiwa rija la mapene ana revert kwenye utimamu na kuanza kujitia mzalendo! Thus how it works in CCM
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule aliyesema Tume ya uchaguzi ikiwa huru fisiemu wajiandae kukabidhi Ikulu au huyu mzee wa V8?
Ulimnukuu vibaya.Kamsikilize vizuri.
 
Kuwa mzalendo Tz ni lazima wenzio watakusaliti, watakuzunguka na mwishowe watakuu ama mapema ama baadae. Wafuatao wanahakisi nachokisema:, Nyerere, Sokoine, Kolimba, Dr. O.A. Juma, Mkapa, A. Chifupa, Filikunjombe, Mtikila, Jpm n.k hawa wote walikuwa na damu za kizalendo na waliuawa kwa dizaini tofauti ama kuanzia ndani ama mipango ikianzia nje. Kama taifa hatuelewi maana ya uzalendo na hatuwahitaji wazalendo
 
Hivi kuna Mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?

Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo

Hawa ni aina ya CCM ya kina Nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini

Kiukweli I declare interest kwamba namkubali Polepole sana

Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe Waziri kabisa au mshauri wa Rais

Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo [emoji1313]l's ?[emoji1313][emoji1313]


Jamba wazi
 
Kuwa mzalendo Tz ni lazima wenzio watakusaliti, watakuzunguka na mwishowe watakuu ama mapema ama baadae. Wafuatao wanahakisi nachokisema:, Nyerere, Sokoine, Kolimba, Dr. O.A. Juma, Mkapa, A. Chifupa, Filikunjombe, Mtikila, Jpm n.k hawa wote walikuwa na damu za kizalendo na waliuawa kwa dizaini tofauti ama kuanzia ndani ama mipango ikianzia nje. Kama taifa hatuelewi maana ya uzalendo na hatuwahitaji wazalendo
 
Kuwa mzalendo Tz ni lazima wenzio watakusaliti, watakuzunguka na mwishowe watakuu ama mapema ama baadae. Wafuatao wanahakisi nachokisema:, Nyerere, Sokoine, Kolimba, Dr. O.A. Juma, Mkapa, A. Chifupa, Filikunjombe, Mtikila, Jpm n.k hawa wote walikuwa na damu za kizalendo na waliuawa kwa dizaini tofauti ama kuanzia ndani ama mipango ikianzia nje. Kama taifa hatuelewi maana ya uzalendo na hatuwahitaji wazalendo
Hatutaogopa kusalitiwa wala kifo. Tutafanya tunayoweza tukiondoka wataibuka wengine. We trust the process.
 
Hivi kuna Mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?

Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo

Hawa ni aina ya CCM ya kina Nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini

Kiukweli I declare interest kwamba namkubali Polepole sana

Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe Waziri kabisa au mshauri wa Rais

Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo [emoji1313]l's ?[emoji1313][emoji1313]


Polepole yupi huyo au huyu huyu wa viete?
 
Kuwa mzalendo Tz ni lazima wenzio watakusaliti, watakuzunguka na mwishowe watakuu ama mapema ama baadae. Wafuatao wanahakisi nachokisema:, Nyerere, Sokoine, Kolimba, Dr. O.A. Juma, Mkapa, A. Chifupa, Filikunjombe, Mtikila, Jpm n.k hawa wote walikuwa na damu za kizalendo na waliuawa kwa dizaini tofauti ama kuanzia ndani ama mipango ikianzia nje. Kama taifa hatuelewi maana ya uzalendo na hatuwahitaji wazalendo
Huyo BW na Jpm watoe kweny list.
 
Hii Shule ya uongozi inageuka kuwa shule ya uhaini, aendelee tu🐒
 
Back
Top Bottom