Wapo wengi tu huku uraiani waliopuuzwa na ccm watamsapoti kama kweli atakuwa smart, lakini nadhani hatokuwa na huo ujasiri !! TusubiriPolepole popote ulipo, U R A NOBODY, huna tofauti na gunia la viazi Mabibo au ndizi, hakuna anayejali zimetoka wapi za nani! Wananunua kutumia.
Polepole once upon a time, ujue wewe ni wa hapo zamani za kale. Huingia hata kwenye kundi la ya kale dhahabu.
Hakuna mtu aweza kusema anakumisi huku uraiani,
Everyday is Saturday................................😎
Kavurugikiwa ana wenge la kuachwa utadhani yeye ndiyo mjane.Huyu eakampime kichwani hayuko sawa
Pole pole kachanganyikiwa.. Hicho ndio alichoitia PC?
Umeupiga MWINGI..all in all MABEBERU wanatutawala..Siasa haziwagi hivyo.
Raila leo ana ushirika na KANU (kupitia Jubilee) ambayo ilimtesa yeye na kizazi cha babake. Utawala wa mkono wa chuma wa Moi kupitia KANU uliwahi kumtesa Raila kuliko kiongozi yeyote wa upinzani EAC labda na Afrika.
Hata mateso ya Mandela kule Roben Island hayafikii ya Raila labda Guantanamo Bay.
Raila aliwahipigwa na vikosi kama mbwa-koko-kichaa na kumsababishia majeraha yasiyofaa kuangalia na kutupwa kwenye chumba chenye maji ya chumvi na pilipili vilivyokolezwa akingali na vidonda vibichi, na maji yakajazwa kwenye saizi ya shingo yake kwa siku tisa huku chakula akichanganyiwa na kinyesi, lakini alikula kinyesi na alipotoka huko kauli yake ilibaki ileile kwamba KANU lazima iondoke hata kwa gharama na kafara ya roho yake.
Kakake Dr. Oburu Oginga akiwa Jasusi wa KGB Urusi alipopata habari hizi, alimpa Rais Moi saa 24 tu kumuachia Raila huru kinyume chake Russian Fighter Jets zitatua Ikulu ya Kenya kumung'oa Moi na KANU yake.
Enzi hizo kulikuwa na vita baridi kali ambapo Kenya ilikuwa upande wa Magharibi hivyo Urusi ilikuwa tayari kumtumia Jasusi Dr. Oburu Oginga kubomoa kambi ya Ubeberu Kenya na kupandikiza Ucommunist. Ultimatum ya Jasusi Dr. Oburu Oginga ilimtisha Moi na US, akatangaza kumuachia huru Raila.
Kulia ni Jasusi Dr. Oburu Oginga na mdogo wake Raila Odinga, chini ni Jaramogi Oginga Odinga (baba yao). Taswira kwa hisani ya google.
View attachment 2040397
View attachment 2040387
Napenda wajuvi wa Mambo Kama wewe,japo Sina uhakika na kile umekilenga kutokana na story ya mzee wa vitendawili.Siasa haziwagi hivyo.
Raila leo ana ushirika na KANU (kupitia Jubilee) ambayo ilimtesa yeye na kizazi cha babake. Utawala wa mkono wa chuma wa Moi kupitia KANU uliwahi kumtesa Raila kuliko kiongozi yeyote wa upinzani EAC labda na Afrika.
Hata mateso ya Mandela kule Roben Island hayafikii ya Raila labda Guantanamo Bay.
Raila aliwahipigwa na vikosi kama mbwa-koko-kichaa na kumsababishia majeraha yasiyofaa kuangalia na kutupwa kwenye chumba chenye maji ya chumvi na pilipili vilivyokolezwa akingali na vidonda vibichi, na maji yakajazwa kwenye saizi ya shingo yake kwa siku tisa huku chakula akichanganyiwa na kinyesi, lakini alikula kinyesi na alipotoka huko kauli yake ilibaki ileile kwamba KANU lazima iondoke hata kwa gharama na kafara ya roho yake.
Kakake Dr. Oburu Oginga akiwa Jasusi wa KGB Urusi alipopata habari hizi, alimpa Rais Moi saa 24 tu kumuachia Raila huru kinyume chake Russian Fighter Jets zitatua Ikulu ya Kenya kumung'oa Moi na KANU yake.
Enzi hizo kulikuwa na vita baridi kali ambapo Kenya ilikuwa upande wa Magharibi hivyo Urusi ilikuwa tayari kumtumia Jasusi Dr. Oburu Oginga kubomoa kambi ya Ubeberu Kenya na kupandikiza Ucommunist. Ultimatum ya Jasusi Dr. Oburu Oginga ilimtisha Moi na US, akatangaza kumuachia huru Raila.
Kulia ni Jasusi Dr. Oburu Oginga na mdogo wake Raila Odinga, chini ni Jaramogi Oginga Odinga (baba yao). Taswira kwa hisani ya google.
View attachment 2040387
View attachment 2040397
Hahahaaa! Let us wait and see ! Time will tell bro,Who are the big fishes now in Tanzania other than those attended the 20th DD of former Brigadier General!
Waliopuuzwa na CCM chini ya uongozi wake ni wengi zaidi, ahamie Burundi ka life la Bongo, limemshinda, huu mchezo hauhitaji hasira.Wapo wengi tu huku uraiani waliopuuzwa na ccm watamsapoti kama kweli atakuwa smart, lakini nadhani hatokuwa na huo ujasiri !! Tusubiri
Kwani kwa ubunge wake alionao hawezi kuendeshwa kwenye Vieitee ??Kavurugikiwa ana wenge la kuachwa utadhani yeye ndiyo mjane.
Anatia kinyaa kwakweli kwa haya anayofanya.
Kama walimnyang'anya Viete jamani wampe atatuua wote kwa kutuambukiza
Sonono.
Everyday is Saturday................................😎
usitutishe...being a big fish without having an influence and commanding power in tiss, police force and the inner circle of ccm is like being naked.Kama ni kweli basi impact yake itakuwa kubwa kiasi chake, PLPL is nobody fool, !! Some big fish behind the curtains !! Just guessing !
Always! Time is the master of everything. Below and above the sunHahahaaa! Let us wait and see ! Time will tell bro,
Hahahaa !! Nimecheka sana, duh !This dude is seeking nothing but attention. Please ignore