Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa kabisa , maneno ya kukosa. kapuuzi sana kasaliti msikasikilizePole pole alipokuwa anakula wenzake hawakumbughuzi, aache kubughuzi wenzake.
Duuh sikuwa kuliona hili bandiko alichoongea ndio kinachofanyika sasa hivi Kuna kikundi Cha watu wachache wamejiundia serikali Yao tofauti na ya wananchi na wanakula kisawasawa inaonekana hii ni michezo ya CCM sema jamaa aliamua kumwaga mboga baada ya kuondolewa kundiniView attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.
Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.
Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.
Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Aroooo Mwasibu feki....Aweke mkeka wa hela alizopiga kupitisha wagombea
Pole pole alipokuwa anakula wenzake hawakumbughuzi, aache kubughuzi wenzake.
Rostam, Abdul, Jk, ...
Hili genge ni smart
Hiki kizee kina akili sana kuliko chadema wote
UfisadiUsmart wao upoje mkuu?
-Kaveli-
Alikwishawaona akina Bashe, Mwigulu, Mbarawa, Rostm na Abdul.View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.
Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.
Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.
Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole