Humphrey Polepole: Uchaguzi ukiwa ni Huru na Haki, CCM ijiandae kukabidhi Ikulu

Humphrey Polepole: Uchaguzi ukiwa ni Huru na Haki, CCM ijiandae kukabidhi Ikulu

NJAAA NI HATARI SANA HAJWAHI KUWAACHA WATAFUTIAJI NA WACHUMIAJI SALAMA NA MTEGEMEAYE TUMBO NA MTEGEMAYE MWANADAMU AMELAANIWA NA WATU WASEMSE AMINA
 
heheheyaa kauli zake za siku hizi sasa kuhusu hiihii ccm tutawapiga sijui tutawashinda kwa kishindo hii nchi ina watu wenye laana kabisaa
 
hahaha mwisho wa kunukuu hakuna mambo hayo ya weka yote





unatunika vibaya wewe sikiliza na hii basi.......................😀😀😀

Weka clip yote ya Polepole. Mimi niliisikiaga na kwa mwenye akili, atamuelewa.
 
Hivi huyu mnayemwita Polepole ni kweli ni yeye yule tunayemfahamu wa Tume ya katiba ya Warioba? nafikiri hata ukimuuliza jina lake nani anaweza asikutajie. Kama kweli ndiye, basi ana laana ya kuwageuka wananchi aliowakalisha juani na kwenye mvua kuomba maoni yao juu ya namna gani nchi yao iongozwe. Hivi hata akilala huwa anajisikiaje kuwasaliti wananchi na kuungana na genge la wahuni? Ninachofurahi ni kwamba mzee waka kasema Lowassa ni msafi na wa kupigiwa mfano kwa siasa za kistaarabu. Nakumbuka Polepole siku moja alisema Lowassa si msafi na aliharibu mchakato wa kutengeneza Katiba ya wananchi. Mzee wake kamuumbua peupe. Leo CCM haina ubavu wa kumnyooshea kidole tena Lowassa.
 
Kumbe hata CCM wenyewe wanajua kua chanzo cha Ushindi wao ni Uchaguzi kutokua Huru na wa Haki. Msikilizeni Polepole akithibitisha hili kwenye hii Video
Polepole.uchaguzi ukiwa uhuru na wa haki ccm ijiandae kukabidhi
 
Polepole alishakufa kitambo kiakiri amepaki kununua wapinzani leo atakwambia uchaguzi ulikua wa huru na aki
 
Waache wang'ang'anie wakurugenzi wanajua ndo PUMZI yao. Wao ni mirija ya oksijeni na ikikatwa tu Mahututi anaaga dunia. Msikilize polepole enzi zake za uanaharakati kabla hajaanza kuvaa ile shati moja tu tangu ateuliwe.
 
Back
Top Bottom