Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
Tatzo wengine wanajiona miungu watu.Huo ndio ukweli mchungu. Japo yapo mengi mazuri yamesimamiwa na ccm, ni hulika ya binadamu kutaka kujaribu akitaraji kupata bora zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatzo wengine wanajiona miungu watu.Huo ndio ukweli mchungu. Japo yapo mengi mazuri yamesimamiwa na ccm, ni hulika ya binadamu kutaka kujaribu akitaraji kupata bora zaidi.
Cc Bashru, Kitila, Mgwira, katambi, kafulila, ...Huo ndio ukweli mchungu. Japo yapo mengi mazuri yamesimamiwa na ccm, ni hulika ya binadamu kutaka kujaribu akitaraji kupata bora zaidi.
Shithole Tanzania
Hahaaaaaa..........Kanywa supu tayari ya mapupu hajielewii
Atakuwa aliongea akiwa kwny kikao cha ndani akiwa na wenzake pekeeHawa jamaa sidhani kama ni wazima. Hivi unawezaje kuongea kitu kama hicho hali ukijua kabisa kuwa unarekodiw!
Mbele ya pesa utu nyumaKweli Ngozi Nyeusi inalaana na Imelaanika haswa! Hata aibu hawana kweli?
Si useme tu 'wizi'.Kumbe hata CCM wenyewe wanajua kua chanzo cha Ushindi wao ni Uchaguzi kutokua Huru na wa Haki. Msikilizeni Polepole akithibitisha hili kwenye hii Video
Sasa hivi anatembeshwa kwenye "Vieitte"Alikuwa na njaa huyo