Humphrey Polepole: Uchaguzi ukiwa ni Huru na Haki, CCM ijiandae kukabidhi Ikulu

Huo ndio ukweli mchungu. Japo yapo mengi mazuri yamesimamiwa na ccm, ni hulika ya binadamu kutaka kujaribu akitaraji kupata bora zaidi.
Tatzo wengine wanajiona miungu watu.
 
Huo ndio ukweli mchungu. Japo yapo mengi mazuri yamesimamiwa na ccm, ni hulika ya binadamu kutaka kujaribu akitaraji kupata bora zaidi.
Cc Bashru, Kitila, Mgwira, katambi, kafulila, ...
 
Kweli Ngozi Nyeusi inalaana na Imelaanika haswa! Hata aibu hawana kweli?
 
Hayo ni maneno yaliyotamkwa na Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Taifa, Humphrey Polepole, kwenye mdahalo kuhusiana na Katiba mpya ya nchi iliyokuwa ikiitwa Rasimu ya Katiba ya Jaji Warioba.

Hapo ilikuwa ni "flashback" Desemba ya mwaka 2017.

Polepole wa Leo siyo tena yule wa mwaka 2017 na hata ukimwambia kuwa ni wewe ulitamka maneno hayo, ataruka maili 1000, kukanusha maneno hayo, kuwa hayajatoka kinywani mwake!

Huo ni mkweli mchungu, ambao Humphrey Polepole aliamua kuusema, wakati huo bado hajavalishwa, hizo sare za kijani, za ukatibbu wa itikadi na uenezi wa CCM Taifa.
 
Majukwaani wamepigwa wamepoteana vibaya tegemeo lao ni wakurugenzi, wananchi eneo husika inatakiwa wawafundishe kazi wakurugenzi wahuni ambao ni chanzo cha kuleta maafa nchini yule wa kinondoni ana hatia ya damu ya akwilini inaishi moyoni mwake ni lzm ailipie.

Hawa wahuni wote wakileta uhuni ni kuwazingira nyumba zao kwa wingi usiku na mchana hakuna kutoka zaidi ya kuwalazimisha waende ofisini wakatende haki, tukiwaachia wafanye uhuni huu wa kuwanyima haki wananchi italeta uvunjifu wa amani. Tusikubali wahuni wachache watuharibie amani yetu.
 
Kumbe hata CCM wenyewe wanajua kua chanzo cha Ushindi wao ni Uchaguzi kutokua Huru na wa Haki. Msikilizeni Polepole akithibitisha hili kwenye hii Video
Si useme tu 'wizi'.
 
Tume ya uchaguzi+Jeshi la Polisi+Wakurugenzi (wasimamizi wa uchaguzi)+Immigration=Ushindi wa CCM
 
Akirudi ana uchungu Sana wa visasi check alivyokauka kwa visasi vinavyowasubiria kulipizwa
 
Video yenyewe haifunguki utopolo mtupu mnatuwekea virus siyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…