Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Wee nawe amka usingizin huko, ushaanza nichanganyia habari.KWAmba sita Kushoto ila ikiwa Kulia ni tisa.
Sasa si yale yale tu, kande kwa ugali maharage.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee nawe amka usingizin huko, ushaanza nichanganyia habari.KWAmba sita Kushoto ila ikiwa Kulia ni tisa.
Sasa si yale yale tu, kande kwa ugali maharage.
Akhsaaannteeeeehhh!!!usikariri maisha kijana watu tuna ndoa zetu humu na jf juniours tunalea
Huyu nina uhakika hajawahi hata kukutana na mwanamke wa jf. Basi ujuaji tu.Akhsaaannteeeeehhh!
Jf hapana aiseeKwanza umekutwa nanini ebu tupe kisa kidogo nawewe utakufa mapema kwa kuweka vitu moyoni shauri yako!
Usiweke vitu moyoni mkuuu toa hata kwa code tu waliosoma cuba wataelewa!!Jf hapana aisee
Ni sayari ya mbali Sana watu wa Jf Wana sura mbili ya jf na ya mazingira ya kawaida,usimuamin mtu yeyote humu jf hasa wanawake wa humu,umeishaaKwamba jf ni sayari nyingine ausio!! Pole sana kwa kukutana na mabalaa huko!
Hahahaha I married my best friend aisee. Tunaelewana kupita maelezo.Npo nimekaa palee [emoji117]
Mlete mrejesho sio muda ntakuwa team kataa ndoa..
Ntatoa mrejesho 🙌Usiweke vitu moyoni mkuuu toa hata kwa code tu waliosoma cuba wataelewa!!
Soon na wew utaanza makasiriko hiyo ndoa itakuua.overHahahaha I married my best friend aisee. Tunaelewana kupita maelezo.
Wala hatuwezi kuwa team kataa ndoa. Siyo kwa mahaba haya matamu tamu yaani.
Tafuta mpenzi mnaeendana uoe , makasiriko yatakuua.
Ni sayari ya mbali Sana watu wa Jf Wana sura mbili ya jf na ya mazingira ya kawaida,usimuamin mtu yeyote humu jf hasa wanawake wa humu,umeishaa
Nani huyo kakupiga tukio?? msemelee hapaNi sayari ya mbali Sana watu wa Jf Wana sura mbili ya jf na ya mazingira ya kawaida,usimuamin mtu yeyote humu jf hasa wanawake wa humu,umeishaa
Akhsaaannteeeeeehhh💃💃Hahahaha I married my best friend aisee. Tunaelewana kupita maelezo.
Wala hatuwezi kuwa team kataa ndoa. Siyo kwa mahaba haya matamu tamu yaani.
Tafuta mpenzi mnaeendana uoe , makasiriko yatakuua.
Hahahaha na ateme mate ili tumchape huyo aliyempiga tukio.
Nakataa hakuna watu wenye mahusiano ya maana humu wanadanganyana tuMkuu unajaza jf seva bureee shusha vituu unawaharibia wenye watu wao wa maana humu ujue!!
Wee kaa na vitu moyoni tu wanaume mnawahi kufa kwa kuweka vitu moyoni mjue😊!
Alimiss kuchart na warembo wa jf,,,Mkuu unajaza jf seva bureee shusha vituu unawaharibia wenye watu wao wa maana humu ujue!!
Wee kaa na vitu moyoni tu wanaume mnawahi kufa kwa kuweka vitu moyoni mjue[emoji4]!
Kuna wanaume hawatakuelewa hapo 😂Kama umeshindwa kupata mke uko mtaani kwenu usijidanganye uje JF kutafuta mchumba, umeishaaaa.
Akikutana na bint toka kwa BWANA kama Dahan hata hivyo vidole havitaweza andika ujinga. Ndugu yangu Half american Mr kenice @mwachiluwi Intelligent businessman Kanali G wanakumbushwa hadi kusali asubuhi zaid ya hapo unataka nn tena mkuuMtoa mada unaona mume wangu anavyofurahia mahusiano yetu? Unaona kijana wa mama mkwe hadi anatamani kunilipia mahari tena.
Halafu wewe unasema nini?? Mungu akusaidie na wewe upate wako uache kulia lia.