Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
kama umepigwa na shangazi mmoja sio wote tutapigwa mkuuUyo Hannah atakupiga kitu kizito shauri yako,
hujui tuna mwaka wa ngapi bado tupo
au labda hukujua kutongoza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama umepigwa na shangazi mmoja sio wote tutapigwa mkuuUyo Hannah atakupiga kitu kizito shauri yako,
mbwa nyie
Kwa hiyo mie chizi
Lete ushahidi hao walioa na kuolewa humu kupitia humu jf wanakuja kuleta mrejesho kwenye I'd nyingine jinsi wanavyoteswa na ndoa zaoNakupingaa mkuu wife material wapooooooo!!! Wewe unatakiwa kupambana nahao ulokutana nao Mbona watu kibao wameoana na wengine wana mahusiano yenye afya teleee humu !!
Kaliwa nauli huyo. Nifiche mpenzi wangu basi[emoji7][emoji7]labda kuna shangazi humu kampiga za uso ndio anafanya generalization hajui hadi natamani nikufiche mfukoni watu wasikuone baby
Tatizo wanawake mko wengi kuliko wanaume. Kuna wanawake lazima uwatengeneze matukio ili wakuache.Eh kasema unadhani hii Dunia si imeisha nilishasema sintokuja huku ila nakuja.
Yaani hadi magari ya wanaume asilimia kubwa ni ya wanawake, ofisi , kila kitu , Cha wanawake . Hadi Kodi wanalipiwa an wanawake asilimia kubwa Kwa Sasa
Kwakweli! Halafu wanaoichukulia jf siriaz huwa wananichekesha sana mimiii yanii unakuta mtu kakomaliaaa kha!!Ana stress zake labda katuma nauli ikaliwa sasa anatumalizia hasira wote.
Ushasema baadhi. Wewe unakujaje na uzi wa kutujumlisha wote humu kana kwamba unatujua wote?Mkuu jf kuna Chaka la wahuni baadhi sio wa kuwaamini,washikaji kibao washatoa misala yao ya wanawake wa jf
Caption......[emoji1787]
View attachment 2568343
Wewe mwenyewe umeongea bila uthibitisho pambana nahao matapeli uliokutana nao mkuu no way!Lete ushahidi hao walioa na kuolewa humu kupitia humu jf wanakuja kuleta mrejesho kwenye I'd nyingine jinsi wanavyoteswa na ndoa zao
Unajua kampeni KATAA ndoa imekujaje jf si wameileta haohao
Me ni husband material Safi tu na baba Bora Ila siwezi nikaoa mwanamke wa humu jf.OverHalafu mbona wewe unatumia picha ya idi amini kwahiyo wewe sio baba bora wala mume bora[emoji57] so Ladies wakae mbali na wewe.
Aaah Aah hii inakuhusu piaUshasema baadhi. Wewe unakujaje na uzi wa kutujumlisha wote humu kana kwamba unatujua wote?
hilo lipo ndani ya uwezo wangu nina moyo mieKaliwa nauli huyo. Nifiche mpenzi wangu basi[emoji7][emoji7]
Uwezo wake wa kujua mambo nautilia mashaka. Anafikiri warembo wa jf wamezaliwa huku na wanaishi humuWa Mtaan ndio wa humu au hujuiii aloo
Ninaweza kuwa sio wife material kwako kwa mwingine ikawa tofauti.Aaah Aah hii inakuhusu pia
Kila mmoja ashinde mechi zake mkuu hakuna namna!Me ni husband material Safi tu na baba Bora Ila siwezi nikaoa mwanamke wa humu jf.Over
Idi amini is my favorite leader in this world
*Ukweli sio ukweri kakaUkweri ndo huo