Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Kipofu hy aone nini ?Ubarikiwe kwa kuliona hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipofu hy aone nini ?Ubarikiwe kwa kuliona hilo.
😂😂 Nilijua bado umelalaKipofu hy aone nini ?
Kwa ufupi: una uhakika gan mh raisi ana ID humu,Dogo walioko ktk hili jukwaa ni watu halisi siyo feki, tena wengine watu wakubwa sana. Hebu tuambie ID ya rais wetu ni ipi maana yumo humu. Kwa hiyo rais wetu ni mtu feki? Rais ni raia namba moja wa nchi na ndio taswira nzima ya nchi. ID siyo feki ila ndiyo sera ya JF ambayo ni 'anonymity' na ndio imetusaidia sana. Hivi kweli utoe taarifa nyeti kaa ID halisi? Tuwe serious! Wanawake waliomo humu ni wanawake halisi wenye genuine issues, ila tu ktk msafara wa mamba na kenge wamo
Natafuta wife material kwenye comments ntalalaje 😁😁😂😂 Nilijua bado umelala
Lete fact hizo tubishane kwa hoja na ushaidiHasty generalisation, tutakuja na facts na utakimbia uzi wako.
Ila ukweri ndo huo Jf hakuna wife material wengi mpo hapa kwa stress zenu za mahusiano na maishaWanaume siku hizi mnalia lia sana. Mmekuwa wadhaifu sana mnalalamika kama watoto wa kambo yaani.
Umeambiwa JF hamna mke mwema.Natafuta wife material kwenye comments ntalalaje 😁😁
Ukweri ndo huoMie mnanichekesha tu the way mnavoconlude mawazo yenu kama mnalolisema nyie ndio lenyewe na halina kupingwa hapo tu ndio nacheeeeeeekaaaa!!
Ila kuna husband material eti?Ila ukweri ndo huo Jf hakuna wife material wengi mpo hapa kwa stress zenu za mahusiano na maisha
Umepatwa nanini kwani mkuu fanya kutusimulia hata kidogo lilokupata !!Ila ukweri ndo huo Jf hakuna wife material wengi mpo hapa kwa stress zenu za mahusiano na maisha
😁😁😁😁Kila mmoja apambane na hao wanawake wake anaokutana huko nao bana msigeneralize mazee!! Humu wife material mbona wapo Wengi tu
Vichomi wachache ndio tunaharibu taswira!
@Joanah JoanahNi kweli wife material hawapo wengi ila usimchukulie poa babe wangu Darlin
Pia wanawake hawa ninaowafahamu angalau kidogo usiwachukulie poa binti kiziwi Dr Lizzy Saint Anne Joanah Depal Khantwe na niliowasahau
JF huifahamu yote na huwezi kuifahamu yote maisha yako yote so usipende ku conclude mambo
Wacha maneno yako.Umeambiwa JF hamna mke mwema.
Nakupingaa mkuu wife material wapooooooo!!! Wewe unatakiwa kupambana nahao ulokutana nao Mbona watu kibao wameoana na wengine wana mahusiano yenye afya teleee humu !!Ukweri ndo huo
😂😂Yani wanafurahisha sana wamekiwa wadhaifu mno na ndo maana wanakutana na matapeli wanakuja kulia LiaMie wananichekesha tu Wanavosisitiza kama wanatujua wanawake wote humu khakhakhaaaa!!!
Wamekutwa na mabalaa gani Kwani Mpaka wanatema nyongo kwa hasira hivi!!