binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Uniweke karibu mara ngapi? 😅Haya binti yangu binti kiziwi
nimeambiwa nikuweke karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uniweke karibu mara ngapi? 😅Haya binti yangu binti kiziwi
nimeambiwa nikuweke karibu
Umeshafuturu kipenz tulikumiss😂😂😂Humu hakuna wanaume wanaume wengi wanaolewa na wanataka bandoo . Na huku wewe upo serious akuambie mnaanzaje maisha mtaishije mtu afanyaje , yeye anasema toka kwenu ukapange chumba nije nikaishi halafu unadai wadada wabaya mlitaka tuwatunze nope aisee maisha nikusaidiana na Kwa mwanamke anakufanyia mengi , kukupa k hadi uridhike , akupikie , akufulie aweke nyumba safi , na bado akuzalie mbwa nyie , na bado utegemee akulishe akuvishe roho mbaya mnatoa wapi?
Tuacheni tuishi kaeni nahao wanaonekana na bado mbona mmewashindwa basi wakaka mmeshindikana sana wanaume saivi . Mnashida sana badilikeni mmekuwa vipuri hamtaki kucheza sekta yenu ya utafutaji . Hamtaki majukumu
😂😂Nasoma commentKwa hiyo mie chizi
Usikilizwe una hoja ila umetia chumvi nyingi usichambe sana😂Humu hakuna wanaume wanaume wengi wanaolewa na wanataka bandoo . Na huku wewe upo serious akuambie mnaanzaje maisha mtaishije mtu afanyaje , yeye anasema toka kwenu ukapange chumba nije nikaishi halafu unadai wadada wabaya mlitaka tuwatunze nope aisee maisha nikusaidiana na Kwa mwanamke anakufanyia mengi , kukupa k hadi uridhike , akupikie , akufulie aweke nyumba safi , na bado akuzalie mbwa nyie , na bado utegemee akulishe akuvishe roho mbaya mnatoa wapi?
Tuacheni tuishi kaeni nahao wanaonekana na bado mbona mmewashindwa basi wakaka mmeshindikana sana wanaume saivi . Mnashida sana badilikeni mmekuwa vipuri hamtaki kucheza sekta yenu ya utafutaji . Hamtaki majukumu
wanawake wa jf ni wachache kuliko wa mtaaniInawezekana Nina pasaka chache na eid chache humu JF lakini kwa uchunguzi wangu mke bora hayupo JF, wanawake wengi wapo JF kwa ajili ya stress zao za mahusiano au ndoa.
Embu niambie Kuna member gani waliwahi kukutana JF mpaka wakaoana, na kuwa na familia kabisa, mtakaonijibu mje na ushaidi.
Mwanamke anatumia ID fake anaweza kweli kuwa mama Bora wa familia, washazoea kuigiza maisha. Vijana wa JF acheni kwenda PM mtapigwa na kitu kizito, humu kila mtu yuko single.
Kama umeshindwa kupata mke uko mtaani kwenu usijidanganye uje JF kutafuta mchumba, umeishaaaa.
Kisa huyu mwanaume uliyekutana nye wewe ndo hajitumi basi una conclude wote...don't take things too personal my dear.Hawataki kujituma unadhani nani Sasa hata wachoka mtu anaomba hela ya bando , ya Kodi anasema nije nikae kwako ??
As if ndio demu , wao nikuwaangalia wakina Gigi money na kufuatilia madanga ya kikebasi
Pa' Mac Alpho nakusalimia tu mimi mwenzio...!!😂😂😂Ni kweli kabisa humu hakuna Wife materials kabisa, Wanawake wengi wa humu ni w hovyo sana halafu wana stress za maisha na wamejificha kwenye id fake na avatar tu. Kuna Washikaji zangu kibao humu wameshaingizwa chaka mnooo. Ushauri kwa Vijana humu kujuana na Mwanamke wa humu iwe kwa ajili ya mambo mengine na sio ndoa na mahusiano. Kuna wanaume wadhaifu humu wanadhalilishwa sana na wanawake wa humu.
😂😂Mzee wa hall v sumbai akijichanganya kuachia zigo sababu ya thread hii nimejitolea kuwa mdaka machozi yako Bantu Lady
AsanteKama hakuna mwanamke wa kuolewa kwa kigezo chakutumia ID fake basi tukubali pia hakuna wanaume wakuoa humu kwasababu pia tunatumia ID fake. Kuoa na kuolewa ni fumbo la Imani ndugu.
Kuna watu wameoana wakiwa walokole na wacha mungu haswa ila ndoa zimewashinda na wamewaacha wanawake waliotolewa bar na kuolewa wanaendelea na familia zao.
Hivi umekaa ujajiuliza kuwa waliomi humu jf ndio walioko mtaani huko na makanisani?, Vipi huyo mkeo au demu wako ndio ana id fake hapa na hujui!!.
Usihukumu kundi la watu wote kwasababu zako binafsi aidha umepigwa za uso au umeamua tu. Mke/mme anapatikana mahali popote kutegemeana na mitazamo na udhati wenu katika Jambo hilo..!
Hata wa kupata mume pia,wengi ni waongo wa kupindukia hawajitambui waongooooPercent kadhaa uko right, uwezekano wa kupata mke humu ni mdogo sana tena sana.
Inawezekana Nina pasaka chache na eid chache humu JF lakini kwa uchunguzi wangu mke bora hayupo JF, wanawake wengi wapo JF kwa ajili ya stress zao za mahusiano au ndoa.
Embu niambie Kuna member gani waliwahi kukutana JF mpaka wakaoana, na kuwa na familia kabisa, mtakaonijibu mje na ushaidi.
Mwanamke anatumia ID fake anaweza kweli kuwa mama Bora wa familia, washazoea kuigiza maisha. Vijana wa JF acheni kwenda PM mtapigwa na kitu kizito, humu kila mtu yuko single.
Kama umeshindwa kupata mke uko mtaani kwenu usijidanganye uje JF kutafuta mchumba, umeishaaaa.
You mean best of luck?Wapo WANAUME Smart humu wenye visions za maana na vile vile wapo Wanawake wenye kujitambua wanataka nini
Another witness nina best friend wangu BFF alipata Mume Instagram wameoana na wamejaaliwa watoto wawili wana mwaka wa4 kwenye Ndoa yao
Hizi Social media ukizitumia vizuri unapata connections za maana in your development carrier and in your relationship..it’s how you use them and how to put on your profile tells alot about you.
Wish every of you best of Lucky 🙏
Kila baya la mwanaume sababu ni mwanamke...over
NAKAZIANimefuatilia comments , mtoa mada Yuko sahii. Hakuna mwanamke aliekuja na kusema ameolewa na anaishi na mmewe vizuri. Wote waishia kusema wanawake was JF ndo walio mtaani, au men wa siku hizi hawawajibiki. Maneno kama hayo ni proof kwamba either bado hawajaolewa au wameachika and hence , mleta mada Yuko sahii JF in shortage or abscent of wife material .
Wife material wote wameshaolewa au wako kwenye process ya kuolewa. Maana wao ni wa thamani kama lulu.
🤚🤚🤚🤚🤚🤚🤚
Si mnasemaga "lady is first.........".Sana aisee mie siwezi I need my man to stand as a man of the house utakuta hata rat kaingia ndani eti ni yeye anaruka ruka ovyoo ndani badala ya kuuwa huyo rat