Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

Hao wanawake (wenye miaka 18-35) wanaolipia wanaume kodi wako wapi? Hawahawa wadada ambao ukiwaomba namba leo, kesho anakwambia mjomba wake kameza shoka, anaomba tshs elfu kumi?? Hizo ni exeption ndogo sana my sister, statistically ni percent ndogo sana ya wanaume ndio wanakula pesa nyingi ya wapenzi wao wa kike Unique Flower
Mie akuuu
 
Ndoa sio kigezo Cha wife material mkuu,Kuna wanawake wengi tu wajinga wameolewa ndoa hazina amani
 
Back
Top Bottom