nana_
JF-Expert Member
- May 17, 2021
- 675
- 1,516
sawa, pambana utapata huyo wa 70/30Mna michango yenu kwa jamii tusiwanyime haki zenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa, pambana utapata huyo wa 70/30Mna michango yenu kwa jamii tusiwanyime haki zenu
Vipi nije pm tuyajenge😂sawa, pambana utapata huyo wa 70/30
NAKAZIA MKUU UKWELI NDO HUO
Watupe ushaidi wife material gani ametoka jfHakuna Mwanamke humu wa kutengeneza naye future .
Watupe ushaidi wife material gani ametoka jf
Npo nimekaa palee 👉
😂😂😂😂🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Usidanganyike kutafuta Mwanamke wa kuoa humu JF, kuna Washikaji wengi sana wamedhalilishwa mpaka aibu yaani.
Mkuu sio kuliwa za kichwa bali ni kudhalilishwa zile convoy zinavuja balaaa, halafu kuna mpuuzi fulani anani maindi ana demu wake humu Mimi nafuatilia kumbe humu huwa tunazinguana tu ili kuwapa faraja Dada zetu wa JF😂😂😂😂
Kuna washikaji washaliwa za kichwa humu aisee wanawake wa Jf hapana
mi ni 95/5 utaweza 😅Vipi nije pm tuyajenge😂
Kama Izo 5 za kwako hapo nitawezami ni 95/5 utaweza 😅
😂😂😂😂😂Mkuu sio kuliwa za kichwa bali ni kudhalilishwa zile convoy zinavuja balaaa, halafu kuna mpuuzi fulani anani maindi ana demu wake humu Mimi nafuatilia kumbe humu huwa tunazinguana tu ili kuwapa faraja Dada zetu wa JF
Kama Izo 5 za kwako hapo nitaweza
😂🙌🏃mi kwenye familia mchango wangu mawazo tu na kutoa pole hela sina
Si umetoa bandiko juzi tu unataka kumuoa mtu anaishia na herufi h, kama umebadili naomba utarifu umma umeahamia kwa anaeishia na t 😁Njoo nikuoe
Kuna mwamba anaitwa makaveli, alioa humuWatupe ushaidi wife material gani ametoka jf
Npo nimekaa palee 👉
Kijana acha maneno na fikra potofu. miss chagga aliolewa na member wa hapa na wana miaka zaidi ya 6 pamoja.Inawezekana Nina pasaka chache na eid chache humu Jf lakini kwa uchunguzi wangu mke Bora hayupo Jf,wanawake wengi wapo Jf kwa ajili ya stress zao za mahusiano au ndoa.
Embu niambie Kuna member gani waliwahi kukutana Jf mpaka wakaoana,na kuwa na familia kabisa.mtakao nijibu mje na ushaidi.
Mwanamke anatumia id fake anaweza kweri kuwa mama Bora wa familia,washazoea kuigiza maisha.
Vijana wa Jf acheni kwenda pm mtapigwa na kitu kizito,humu kila mtu Yuko single,
Kama umeshindwa kupata mke uko mtaani kwenu usijidanganye uje Jf kutafuta mchumba,umeishaaaa
Lete ushaidi mkuuKuna mwamba anaitwa makaveli, alioa humu
Wapo wengi tu, chukua DahanInawezekana Nina pasaka chache na eid chache humu Jf lakini kwa uchunguzi wangu mke Bora hayupo Jf,wanawake wengi wapo Jf kwa ajili ya stress zao za mahusiano au ndoa.
Embu niambie Kuna member gani waliwahi kukutana Jf mpaka wakaoana,na kuwa na familia kabisa.mtakao nijibu mje na ushaidi.
Mwanamke anatumia id fake anaweza kweri kuwa mama Bora wa familia,washazoea kuigiza maisha.
Vijana wa Jf acheni kwenda pm mtapigwa na kitu kizito,humu kila mtu Yuko single,
Kama umeshindwa kupata mke uko mtaani kwenu usijidanganye uje Jf kutafuta mchumba,umeishaaaa