Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

Hemu interpret vizuri nikuelewe what you mean..???
Mie nipo serious wewe upo serious je kama mtu nikaamua kuwa okay let see ukakutwa hauko serious ??
Naumedai upo serious .

Usinione natukana natania wananidhihaki I am very serious ndio mana nikatoka jf kutafuta walio serious ninao waona tuone
 
Mie nipo serious wewe upo serious je kama mtu nikaamua kuwa okay let see ukakutwa hauko serious ??
Naumedai upo serious .

Usinione natukana natania wananidhihaki I am very serious ndio mana nikatoka jf kutafuta walio serious ninao waona tuone
And reason kubwa ya haya yote unayoyasema umejua ni ipi....????
 
Kwa hiyo huku kuna wadangaji tu?

Wake wapo wapi vile?

By the way kwa nini wanaume mnatumia muda mwingi kutafakari mambo ya wanawake kuliko ya kwenu wenyewe?
Kila baya la mwanaume sababu ni mwanamke...over
 
Inawezekana Nina pasaka chache na eid chache humu Jf lakini kwa uchunguzi wangu mke Bora hayupo Jf,wanawake wengi wapo Jf kwa ajili ya stress zao za mahusiano au ndoa.

Embu niambie Kuna member gani waliwahi kukutana Jf mpaka wakaoana,na kuwa na familia kabisa.mtakao nijibu mje na ushaidi.

Mwanamke anatumia id fake anaweza kweri kuwa mama Bora wa familia,washazoea kuigiza maisha.

Vijana wa Jf acheni kwenda pm mtapigwa na kitu kizito,humu kila mtu Yuko single,

Kama umeshindwa kupata mke uko mtaani kwenu usijidanganye uje Jf kutafuta mchumba,umeishaaaa

Ni kweli kabisa humu hakuna Wife materials kabisa, Wanawake wengi wa humu ni w hovyo sana halafu wana stress za maisha na wamejificha kwenye id fake na avatar tu. Kuna Washikaji zangu kibao humu wameshaingizwa chaka mnooo. Ushauri kwa Vijana humu kujuana na Mwanamke wa humu iwe kwa ajili ya mambo mengine na sio ndoa na mahusiano. Kuna wanaume wadhaifu humu wanadhalilishwa sana na wanawake wa humu.
 
Hapana siwezi kutafuta humu nipo mtaani nawapekenyua niangalia wa saizi yangu mkuu ndio nzuri maana unamwona , unamsikia unamjaribu , unamlilia ni vyema kushinda mtu yupo Dar wewe Arusha halafu mvua inanyesha siunatakiwa upate Moja baridi Moja moto Sasa wakukupa joto akiwa mbali inakuwaje unachizika .

So humu wengi wapo mambele ni kuchorana tu
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Ni kweli kabisa humu hakuna Wife materials kabisa, Wanawake wengi wa humu ni w hovyo sana halafu wana stress za maisha na wamejificha kwenye id fake na avatar tu. Kuna Washikaji zangu kibao humu wameshaingizwa chaka mnooo. Ushauri kwa Vijana humu kujuana na Mwanamke wa humu iwe kwa ajili ya mambo mengine na sio ndoa na mahusiano. Kuna wanaume wadhaifu humu wanadhalilishwa sana na wanawake wa humu.
NAKAZIA MKUU UKWELI NDO HUO
 
Back
Top Bottom