Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Hujakosea mkuu kwa mtazamo wako uko sawa seems ulikutwa na jambo sio buree!!๐๐๐๐
Wife material jf hakuna Kama wapo Basi hawana ID over
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujakosea mkuu kwa mtazamo wako uko sawa seems ulikutwa na jambo sio buree!!๐๐๐๐
Wife material jf hakuna Kama wapo Basi hawana ID over
Wapo wengi Sana humu like meIla kuna husband material eti?
Kwan hujaona uzi unazungumzia nini? Mmeambiwa hamna wife material humu ๐๐Wacha maneno yako.
Kwahiyo mimi sio wife material? Unaumwa degedege wewe.Ila ukweri ndo huo Jf hakuna wife material wengi mpo hapa kwa stress zenu za mahusiano na maisha
Nakataa huo ni uongoJF ni mtandao wa kijamii kama mitandao mingine tu,Mwanamke anapatikana KOKOTE tu,tena afadhali mwanamke wa JF humu utakutana nae atakuwa kajifunza mengi kupitia jukwaa letu pendwa la MMU,Mimi nikimpata mwanamke wa Kutoka humu,basi naimani Kubwa atakuwa na Tabia nzuri na atatulia kwenye mahusiano,kwani atakuwa kaona mengi kupitia nyuzi za wadau na hata kushinda tu humu ni kwamba Anajitambua na ameamua kuwa GT,kuliko kukaa Instagram au TikTok na kupost post akiwa nusu uchi...
Binafsi nawaheshimu Wanawake wote wanaotumia JF.Wife material wapo wengi tu Humu.
Kwenye ID siwezi kusema chochote ila mwenye alitueleza anapitia JF. Ujumbe wangu waliomo himu siyo watu fekiKwa ufupi: una uhakika gan mh raisi ana ID humu,
Khakhakhaaaa.....๐๐Yani wanafurahisha sana wamekiwa wadhaifu mno na ndo maana wanakutana na matapeli wanakuja kulia Lia
wakibadilisha mindset zao na ndivyo mambo yatabadilika
Simba anyatiwiKwan hujaona uzi unazungumzia nini? Mmeambiwa hamna wife material humu ๐๐
Yaan wewe ni husband material ??Wapo wengi Sana humu like me
Yani alovokomalia utadhani anawajua wanawake wote humu kha!Kwahiyo mimi sio wife material? Unaumwa degedege wewe.
labda kuna shangazi humu kampiga za uso ndio anafanya generalization hajui hadi natamani nikufiche mfukoni watu wasikuone babyBora babe umwambie.
Mkuu jf kuna Chaka la wahuni baadhi sio wa kuwaamini,washikaji kibao washatoa misala yao ya wanawake wa jfUmepatwa nanini kwani mkuu fanya kutusimulia hata kidogo lilokupata !!
Si unaona watu wanasema kabisa humu wife material wapo!!
Ana stress zake labda katuma nauli ikaliwa sasa anatumalizia hasira wote.Yani alovokomalia utadhani anawajua wanawake wote humu kha!
Wewe jamaa ni sexist.Mkuu jf kuna Chaka la wahuni baadhi sio wa kuwaamini,washikaji kibao washatoa misala yao ya wanawake wa jf