Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
Kipenzi changu hakuon au anakuchukulia poa poaaaaa.Kwa hiyo mie chizi
Tatizo katoka kutendwa wala asikuumizeee kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipenzi changu hakuon au anakuchukulia poa poaaaaa.Kwa hiyo mie chizi
😁😁😁Yaan wewe ni husband material ??
😃😃 nicheke mie. Haya hongera.
😂😂*Ukweli sio ukweri kaka
Mtaani tunaishi na matapeli wengine nduguzetu kabisa sembuse jf😂😂😂
Sio kila mechi ya kushinda mkuu, wanawake wa Jf ni kisanga ukimsogeza tu karibu umeumia,,trust meKila mmoja ashinde mechi zake mkuu hakuna namna!
🤣🤣🤣🤣🤣*Ukweli sio ukweri kaka
Mtaani tunaishi na matapeli wengine nduguzetu kabisa sembuse jf😂😂😂
Labda Wachache sio wote asee!!Sio kila mechi ya kushinda mkuu, wanawake wa Jf ni kisanga ukimsogeza tu karibu umeumia,,trust me
Ulipigwa na kitu kizito na ukachomwa na kitu chenye ncha Kali,,,,,,pole kijanaSio kila mechi ya kushinda mkuu, wanawake wa Jf ni kisanga ukimsogeza tu karibu umeumia,,trust me
😂😂😂😂😂Nimecheka🤣🤣🤣🤣🤣
Khakhakhaaaa ..... tena tunawajua kwa majina na uhalisia wao sembuse huku jf Kwenye ufekiii watapeliwee tuuu ndio wakome khakhakhaaaa!!
Mtoa mada unaona mume wangu anavyofurahia mahusiano yetu? Unaona kijana wa mama mkwe hadi anatamani kunilipia mahari tena.hilo lipo ndani ya uwezo wangu nina moyo mie
ntakuficha mahabani mpaka mama mkwe aseme nilipe mahari mara ya pili
falling for you baby
Cheka utanue mapafu dear jf never boring!😂😂😂😂😂Nimecheka
Wa jf mmezid Sana Bora wa huko mitaani Ila wa Jf mna feki kila kitu🤣🤣🤣🤣🤣
Khakhakhaaaa ..... tena tunawajua kwa majina na uhalisia wao sembuse huku jf Kwenye ufekiii watapeliwee tuuu ndio wakome khakhakhaaaa!!
Cheka Sana utakuja kulia humu humu jf uku ukisema kataa ndoa😂😂😂😂😂Nimecheka
KWAmba sita Kushoto ila ikiwa Kulia ni tisa.Ninaweza kuwa sio wife material kwako kwa mwingine ikawa tofauti.
Akhsaaannteeeeehhh!Mtoa mada unaona mume wangu anavyofurahia mahusiano yetu? Unaona kijana wa mama mkwe hadi anatamani kunilipia mahari tena.
Halafu wewe unasema nini?? Mungu akusaidie na wewe upate wako uache kulia lia.
Npo nimekaa palee 👉Mtoa mada unaona mume wangu anavyofurahia mahusiano yetu? Unaona kijana wa mama mkwe hadi anatamani kunilipia mahari tena.
Halafu wewe unasema nini?? Mungu akusaidie na wewe upate wako uache kulia lia.
Kwanza umekutwa nanini ebu tupe kisa kidogo nawewe utakufa mapema kwa kuweka vitu moyoni shauri yako!Wa jf mmezid Sana Bora wa huko mitaani Ila wa Jf mna feki kila kitu
Mbona mie nimewasogeza ila hamna tabuuu?Sio kila mechi ya kushinda mkuu, wanawake wa Jf ni kisanga ukimsogeza tu karibu umeumia,,trust me
Kwamba jf ni sayari nyingine ausio!! Pole sana kwa kukutana na mabalaa huko!Wa jf mmezid Sana Bora wa huko mitaani Ila wa Jf mna feki kila kitu