Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

Alimiss kuchart na warembo wa jf,,,


Mpeni company apoteze muda then ajongee kwa shemeji yake akale msosi wa mchana.
Warembo??? Mrembo ana I'd fake mkuu
Nasubiri iftar ya shemeji jioni,kuwa na dada Raha afu awe pisi Kali shemeji ana kauliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†
 
Akikutana na bint toka kwa BWANA kama Dahan hata hivyo vidole havitaweza andika ujinga. Ndugu yangu Half american Mr kenice @mwachiluwi Intelligent businessman wanakumbushwa hadi kusali asubuhi zaid ya gapo unataka nn tena mkuu
🀣 acha avune alichopanda kwenye kundi lolote linalohisisha muingiliano wa watu wengi kuna kila aina ya tabia ni yeye kuwa makini kuchagua.
 
Warembo??? Mrembo ana I'd fake mkuu
Nasubiri iftar ya shemeji jioni,kuwa na dada Raha afu awe pisi Kali shemeji ana kauliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†
Id fake ni kwaajili ya privacy tu, kwahiyo wenye uhalali wa kumiliki ID fake ni sisi wanaume na sio KE?
 
Kila mtu ana sababu za kuwepo hapa, sio kila mtu kaletwa hapa na mapenzi, **** watu wapo siasani huko hawajawahi kutoa mchango wowote mmu, sijui kwa nini ufikiri kila mwanamke yupo hapa kwa stress zake.
Wanasiasa?? Nani alikwambia Wana siasan hao hawataki mapenzi na mmu wanaudhuria Sana mpaka pm uko washaenda sana
 
Wanasiasa?? Nani alikwambia Wana siasan hao hawataki mapenzi na mmu wanaudhuria Sana mpaka pm uko washaenda sana
Sasa wao kwenda pm wewe kinakuuma nini mkuu? Kila mtu ana sababu zake kuwepo humu, hata majambazi yanaweza kuwepo humu coz hii ni jamii kama huko mtaani, au hujasikia watu kutapeliwa humu?

Acha watu waishi mkuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…