Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
- Thread starter
-
- #281
Warembo??? Mrembo ana I'd fake mkuuAlimiss kuchart na warembo wa jf,,,
Mpeni company apoteze muda then ajongee kwa shemeji yake akale msosi wa mchana.
Wanawake wa Jf Wana sura mbiliAkikutana na bint toka kwa BWANA kama Dahan hata hivyo vidole havitaweza andika ujinga. Ndugu yangu Half american Mr kenice @mwachiluwi Intelligent businessman wanakumbushwa hadi kusali asubuhi zaid ya gapo unataka nn tena mkuu
Ila hawajazaliwa jf,kukulia jf na kuishi jfWanawake wa Jf Wana sura mbili
π€£ acha avune alichopanda kwenye kundi lolote linalohisisha muingiliano wa watu wengi kuna kila aina ya tabia ni yeye kuwa makini kuchagua.Akikutana na bint toka kwa BWANA kama Dahan hata hivyo vidole havitaweza andika ujinga. Ndugu yangu Half american Mr kenice @mwachiluwi Intelligent businessman wanakumbushwa hadi kusali asubuhi zaid ya gapo unataka nn tena mkuu
Kila mtu ana sababu za kuwepo hapa, sio kila mtu kaletwa hapa na mapenzi, **** watu wapo siasani huko hawajawahi kutoa mchango wowote mmu, sijui kwa nini ufikiri kila mwanamke yupo hapa kwa stress zake.Lete fact hizo tubishane kwa hoja na ushaidi
Utapigwa na Kitu kizito soonπKiufupi nina wapenzi wawili wote kwenye simu zao kuna app ya jf , sasa sijui kama wapo active huku au vip.
Sura ya kwanza ipoje?Wanawake wa Jf Wana sura mbili
Weka hapa ushahidi ili wanaume wakuaminiWanawake wa Jf Wana sura mbili
Kweli mkuu.π€£ acha avune alichopanda kwenye kundi lolote linalohisisha muingiliano wa watu wengi kuna kila aina ya tabia ni yeye kuwa makini kuchagua.
Id fake ni kwaajili ya privacy tu, kwahiyo wenye uhalali wa kumiliki ID fake ni sisi wanaume na sio KE?Warembo??? Mrembo ana I'd fake mkuu
Nasubiri iftar ya shemeji jioni,kuwa na dada Raha afu awe pisi Kali shemeji ana kauliπππ
Wanasiasa?? Nani alikwambia Wana siasan hao hawataki mapenzi na mmu wanaudhuria Sana mpaka pm uko washaenda sanaKila mtu ana sababu za kuwepo hapa, sio kila mtu kaletwa hapa na mapenzi, **** watu wapo siasani huko hawajawahi kutoa mchango wowote mmu, sijui kwa nini ufikiri kila mwanamke yupo hapa kwa stress zake.
Kuwa nao makini mkuuIla hawajazaliwa jf,kukulia jf na kuishi jf
Ndivyo ilivyo wife materials wapo na wale wengine pia wapo. Keyboard haina uhalisia wowote na ukweli juu ya maisha ya mtu humu.Kweli mkuu.
Sasa wao kwenda pm wewe kinakuuma nini mkuu? Kila mtu ana sababu zake kuwepo humu, hata majambazi yanaweza kuwepo humu coz hii ni jamii kama huko mtaani, au hujasikia watu kutapeliwa humu?Wanasiasa?? Nani alikwambia Wana siasan hao hawataki mapenzi na mmu wanaudhuria Sana mpaka pm uko washaenda sana
π Kumbe wamempiga tukioAkishusha kizito achopigwa nacho Naomba mniite wakuu
Unaona sasa? Halafu anakuja kifua mbele kusema wife material hatupo kumbe wapo ambao hadi wana hofu ya Mungu.Akikutana na bint toka kwa BWANA kama Dahan hata hivyo vidole havitaweza andika ujinga. Ndugu yangu Half american Mr kenice @mwachiluwi Intelligent businessman wanakumbushwa hadi kusali asubuhi zaid ya gapo unataka nn tena mkuu
Kwa umri huu niwe makini katika kutafuta hena na kuzitumia ila si mengneKuwa nao makini mkuu
Seems mkuu kuna sehemu amesema atatupia alichokutana nacho!π Kumbe wamempiga tukio
Akitupiamo unitagimo πSeems mkuu kuna sehemu amesema atatupia alichokutana nacho!