Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mie nipo serious wewe upo serious je kama mtu nikaamua kuwa okay let see ukakutwa hauko serious ??Hemu interpret vizuri nikuelewe what you mean..???
Wanaume wamezidisha kuchamba na umbea, its not healthy or fun anymore! kila kona thread za kuchamba wanawake wakina dr kumbuka mmezidi bana.
And reason kubwa ya haya yote unayoyasema umejua ni ipi....????Mie nipo serious wewe upo serious je kama mtu nikaamua kuwa okay let see ukakutwa hauko serious ??
Naumedai upo serious .
Usinione natukana natania wananidhihaki I am very serious ndio mana nikatoka jf kutafuta walio serious ninao waona tuone
Kila baya la mwanaume sababu ni mwanamke...overKwa hiyo huku kuna wadangaji tu?
Wake wapo wapi vile?
By the way kwa nini wanaume mnatumia muda mwingi kutafakari mambo ya wanawake kuliko ya kwenu wenyewe?
Njoo nikuoeOa majirani zako....
Wewe sema usaidiwe kujua kama upo serious au unatania basi , jibu sijuiAnd reason kubwa ya haya yote unayoyasema umejua ni ipi....????
Wanawake wengi wa jamii forum wanaharati wanadai haki zao 50/50 jaribu kumuoa Sasa uonje motoo🔥sisi wa huku ndo tupo mtaani pia 🤣🤣
we 50/50 hutaki?Wanawake wengi wa jamii forum wanaharati wanadai haki zao 50/50 jaribu kumuoa Sasa uonje motoo🔥
Me nataka 70/30..overwe 50/50 hutaki?
heee, nikajua utataka 100/0Me nataka 70/30..over
Wewe ni witch craft au [emoji848] , hemu nisaidie kujua kama nipo serious au laaaa! i'm waiting.Wewe sema usaidiwe kujua kama upo serious au unatania basi , jibu sijui
Inawezekana Nina pasaka chache na eid chache humu Jf lakini kwa uchunguzi wangu mke Bora hayupo Jf,wanawake wengi wapo Jf kwa ajili ya stress zao za mahusiano au ndoa.
Embu niambie Kuna member gani waliwahi kukutana Jf mpaka wakaoana,na kuwa na familia kabisa.mtakao nijibu mje na ushaidi.
Mwanamke anatumia id fake anaweza kweri kuwa mama Bora wa familia,washazoea kuigiza maisha.
Vijana wa Jf acheni kwenda pm mtapigwa na kitu kizito,humu kila mtu Yuko single,
Kama umeshindwa kupata mke uko mtaani kwenu usijidanganye uje Jf kutafuta mchumba,umeishaaaa
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Hapana siwezi kutafuta humu nipo mtaani nawapekenyua niangalia wa saizi yangu mkuu ndio nzuri maana unamwona , unamsikia unamjaribu , unamlilia ni vyema kushinda mtu yupo Dar wewe Arusha halafu mvua inanyesha siunatakiwa upate Moja baridi Moja moto Sasa wakukupa joto akiwa mbali inakuwaje unachizika .
So humu wengi wapo mambele ni kuchorana tu
We haumo kabisa kwenye list ya @Chariifransico 🤣 🤣 🤣 🤣Kwa hiyo mie chizi
Mna michango yenu kwa jamii tusiwanyime haki zenuheee, nikajua utataka 100/0
NAKAZIA MKUU UKWELI NDO HUONi kweli kabisa humu hakuna Wife materials kabisa, Wanawake wengi wa humu ni w hovyo sana halafu wana stress za maisha na wamejificha kwenye id fake na avatar tu. Kuna Washikaji zangu kibao humu wameshaingizwa chaka mnooo. Ushauri kwa Vijana humu kujuana na Mwanamke wa humu iwe kwa ajili ya mambo mengine na sio ndoa na mahusiano. Kuna wanaume wadhaifu humu wanadhalilishwa sana na wanawake wa humu.
Wauku cindo wa mtaan mkuu?Percent kadhaa uko right, uwezekano wa kupata mke humu ni mdogo sana tena sana.