Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

Kwamba huko duniani uliko wanawake ndio wanamiliki pesa na vitu kuliko wanaume? Dunia ya wapi hiyo?

Wewe binafsi umewazidi kipato wanaume wangapi?

Wewe sema una bahati ya kukutana na mapunga, au huwa una date na vitoto vidogo kuliko wewe.

Siku zote mwanamke atafuatwa na wanaoendana nae (wanaommudu), huwezi kuwa wa low standard kisha utarajie kuvutia wanaume wanaojielewa.

We pambana na hao unaowavutia.
Unaongea pumba hakunaga mwanaume ambaye ni mmbaya kama hao matajiri wanachukua advantage hata Kwa hao maskini wahali ya chini asitumie hela zake wewe imba imba tu ujinga hapa eti walevo yangu unajua walevo yangu .

Sema kama unawajua au huwajui nikikupa mmoja unaweza kukimbia maana Hujui utaoffer Nini maana hata kingereza hukijui Kwa ufasa hatokuelewa mtakesha siku nzima
 
Ni kweli wife material hawapo wengi ila usimchukulie poa babe wangu Darlin

Pia wanawake hawa ninaowafahamu angalau kidogo usiwachukulie poa binti kiziwi Dr Lizzy Saint Anne Joanah Depal Khantwe na niliowasahau

JF huifahamu yote na huwezi kuifahamu yote maisha yako yote so usipende ku conclude mambo
Mmoja Kati Ya Uliowataja, Nilifahamiana nae hapa hapa Kilichotutenganisha ni imani zetu.

Ni Mwanamke Ambaye Popote Siwezi Kumsema vibaya, Atakayemuoa ni kweli Hatojutia.

  • Ana Hofu Ya Mungu
  • Ana Moyo wa Huruma
  • Ana ijua thamani yake na kujitunza.
  • Ana Uelewa wa mambo mengi ya kijamii.
  • Ni Muelewa, Mstaarabu, Mtulivu.
  • Ni Sehemu Sahihi kumuomba ushauri.
  • N.k

Alinikuta Nikiwa Nimekata Tamaa Kielimu, Akanishauri Kujiendeleza kielimu nashukuru japo Sijamaliza ila nimeshapata Pa Kujishikiza huku ninasoma na Nimeahidiwa Kuajiriwa.

Kwasasa Hatuna Mawasiliano Mazuri Ila Ninamuombea Kila anapokuwa Mungu Amjaalie Afya Njema. Ninaamini Ipo siku Atayapata Haya Matunda ya Ushauri alionipa.

Wakuu, Mimi Si Mchangiaji sana, nimechangia nilipoona mtoa Mada anapotosha na Hapa nimeona Niweke Neno Kutokana na Uzoefu wangu, Japo Yapo Mengi sana mazuri sijayaweka. Ila Ni kumbukumbu kwangu mimi.

Ukisoma Hapa Japo Hii ni ID Tofauti, Ninakushukuru Sana.
 
Unaongea pumba hakunaga mwanaume ambaye ni mmbaya kama hao matajiri wanachukua advantage hata Kwa hao maskini wahali ya chini asitumie hela zake wewe imba imba tu ujinga hapa eti walevo yangu unajua walevo yangu .

Sema kama unawajua au huwajui nikikupa mmoja unaweza kukimbia maana Hujui utaoffer Nini maana hata kingereza hukijui Kwa ufasa hatokuelewa mtakesha siku nzima

Oouff😄.

Nilichokuwa nataka kusema nimekisema kwenye comment yangu uliyoquote zaidi ya hapo sina lingine, ingawa linaweza kuwa kubwa kuliko level ya ufahu wako ila jaribu kuli-digest vizuri.

Uwe na mchana mwema, popote pale ulipo.
 
Kuna watu humu wanabebishana kabisa ,kuongea mahaba ,kapagawa na picha dp ,na jina kisa kajiandika Joana la kike ,kumbe ni dume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Chezea jf wewe ....
 
Kabisa,Inabidi adeal na hao matapeli.
Kuna wenzie nao walio desperate kama yeye wanakuja kumuunga mkono kwa kutukana wanawake wote hata ambao hawawajui.,anatukana utadhani anawajua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni changamoto asee
 
Mmoja Kati Ya Uliowataja, Nilifahamiana nae hapa hapa Kilichotutenganisha ni imani zetu.

Ni Mwanamke Ambaye Popote Siwezi Kumsema vibaya, Atakayemuoa ni kweli Hatojutia.

  • Ana Hofu Ya Mungu
  • Ana Moyo wa Huruma
  • Ana ijua thamani yake na kujitunza.
  • Ana Uelewa wa mambo mengi ya kijamii.
  • Ni Muelewa, Mstaarabu, Mtulivu.
  • Ni Sehemu Sahihi kumuomba ushauri.
  • N.k

Alinikuta Nikiwa Nimekata Tamaa Kielimu, Akanishauri Kujiendeleza kielimu nashukuru japo Sijamaliza ila nimeshapata Pa Kujishikiza huku ninasoma na Nimeahidiwa Kuajiriwa.

Kwasasa Hatuna Mawasiliano Mazuri Ila Ninamuombea Kila anapokuwa Mungu Amjaalie Afya Njema. Ninaamini Ipo siku Atayapata Haya Matunda ya Ushauri alionipa.

Wakuu, Mimi Si Mchangiaji sana, nimechangia nilipoona mtoa Mada anapotosha na Hapa nimeona Niweke Neno Kutokana na Uzoefu wangu, Japo Yapo Mengi sana mazuri sijayaweka. Ila Ni kumbukumbu kwangu mimi.

Ukisoma Hapa Japo Hii ni ID Tofauti, Ninakushukuru Sana.
Hakika mkuu. JF japo ina wasiokuwa na wema (kama ilivyo sehemu yoyote hata mitaani) lakini wapo watu wazuri tu wanaume na wanawake.

Kuna watu wamesaidiwa hapa hapa JF na wengine wameoana hapa hapa.

Ni kosa kufanya ujumuishi moja kwa moja kuwa watu wa JF wawe wanaume au wanawake kuwa matapeli n.k
 
You are the one supposed to relax and stop making pathetic assumptions about women in Jf
I don't have sad thoughts, jf it's free, you have the right to say anything here or jf women are angels and they don't make mistakes.

You really like to oppose my topics but I have no problem with you. May you be blessed.🙏

It's me Mo mp5






 
Oouff😄.

Nilichokuwa nataka kusema nimekisema kwenye comment yangu uliyoquote zaidi ya hapo sina lingine, ingawa linaweza kuwa kubwa kuliko level ya ufahu wako ila jaribu kuli-digest vizuri.

Uwe na mchana mwema, popote pale ulipo.
Haha kumbe wewe ni Mzee shikamoo
 
Hivi kwa mfano siku zikarudi nyuma labda mpaka mwaka 2018 ni kitu gani utatamani kukirekebisha au ni makosa gani hautorudia kuyafanya?
Ningeenda na prosper ambaye aliniambia ndugu zangu wananidanganya nawatu potezea muda niende naye nikanze maisha . Alikuwa anahela , mzuri na nimtu mzima like 45 prosper ndiye mtu aliwahi nisimamia katika maisha haya , sijasikia nilichoose ndugu ndio mpaka na Leo maisha sio Yale noliyonayo
 
Back
Top Bottom