Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Unique Flower ningekua na hela ilibidi nichill na wewe kama miezi minne hivi ila sasa shida nipo kwa mganga Liperanya ananiagua.

Nikitoka huku lazima nikucheki nikusahaulishe hivyo vinega visivyo na pumzi na vyenye miradi ya kuku wa kisasa
 
Huyu mwamba alivyo fisi pamoja na hili povu lote kalike na kucomment kabisa.

Pole sana dada, siku nyingine usimpe kipochi manyoya kabla hajalipa.
Lile gari sio la mkopo mimi ndo nilimuazima na pale alipokupeleka sio kwake ni kwa demu wake, ungechunguza vizuri ungeona nguo za kike.

Ila pole sana sista ndo maisha.
 
Tuanzie kwako kwanza,hivyo vyote ulivyotaja wewe unavyo?Umejenga?,Gari unayo?sio ya mkopo? Account yako inapokea miamala minene kiasi gani?Kama wewe hauna hivyo huna haki ya kutaka mwanaume wako awe navyo.Tafuta wa saizi yako. Na kama umenyanduliwa bure na msela akasepa pole[emoji23]
 
Huyu demu inaonekana kapigwa machine mpaka papuchi ikawa inatoa upepo ho ho ho ho hooo ,kumbe mhuni kamuigizia tu πŸ˜… Hana maisha Wala Nini ,kaamua kumtema Sasa anakuja kutoa makasiriko humu jf...!

Maisha ya Sasa ni ujanja ,mnajikutaga mnataka mwanaume mwenye pesa ,gari ,nyumba ,kazi nzuri πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… na sisi tunaweza kuigiza tunayo hayo yote tukisha ichakaza iyo papuchi tunatoweka kama upepoπŸ˜…
 
Unamdharau vipi mtu anayelipwa millioni moja? Mbona mshahara mkubwa tu huo kwa mishahara ya Kibongo?

Msingi wa malalamiko yako ni nini hasa nimeshindwa kukuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…