Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Mkuu Instagram anatumia jina gani ? Tupe wahuni tukaangalie kama anafaa kuliwa ,Hawa wadada wenye tamaa na pesa hapa mjini ni WA kuliwa tu
Soon picha zake zitatumwa huku ngoja idi ipite!
 
Sijui kwa nini nikiona nyuzi zako namkumbukaga mdogo wangu Demiss mana naye alijua sana kuwachamba Me wa humu.

Yaani alikuwa hawapumzishi. 😀😀😀
 
Utapoa tu, with time kila kitu kitarudi kama kilivyokuwa. Ukikutana naye mpe hi kwamaana amekufundisha kuwa shobo ni kitu kibaya mno
 
Wanaume kazi tunayo, mpaka mwaka upinduke tutaona mengi.
 
Hili povu sio la bure...kuna mtu keshaliwa hapa kaachwa solemba[emoji1787][emoji1787]
Daah mdgo wangu hizi sosho netwek sio za kuaminiii
Wanajaa PM.hukooo ....wanalugha nzuri unaingia kingi...daah pole...next tym usiamini mtu[emoji1787][emoji1787]
Wakija PM.we soma ziache hapo hapo
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafuu umeongea vizuri kiustaarabu kwa sasa siwapendi wanaume wa jf kosa walilofanya hakuna nimwaka tu wakuwapa madongo.
Najisikia kuchukizwa tu na wanaume wa humu
Inatakiwa utofautishe kati ya wanaume na wavulana ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Utakuwa na stress za kufa mtu.
 
Jua lishaanza kuzama, mafuta ya taa yameisha kwenye chemli yangu, wacha nikafuturu mihogo yangu, kisha nijilaze kwenye kakipande kangu ka mkeka, kabla ya kulala natizama juu makuti yameanza kuvujisha na masika hii, natikisa kichwa najiambia yote maisha.
 
Tayari,mtu keshapigwa mbupu na waazima magari.

Nikwambie tu kitu humu jf matajiri wamo na wasomi wenye pesa wamo na wanasiasa wamo ila hv karibuni na wahuni ambao hawana chochote wameingia wengi sana na wametake over na wamewapoteza hao niliowataja hapo mwanzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…