Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Tayari,mtu keshapigwa mbupu na waazima magari.

Nikwambie tu kitu humu jf matajiri wamo na wasomi wenye pesa wamo na wanasiasa wamo ila hv karibuni na wahuni ambao hawana chochote wameingia wengi sana na wametake over na wamewapoteza hao niliowataja hapo mwanzo
Humu kuna watu matajiri 😂🤣🤣🤣🤣 wabungee 😂🤣🤣🤣🤣🤣 wasomi wapo ila hela hakuna 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah jamani hatukatai ila nguvu zakiume hakuna mnaelewaga??
Eti watu wanajiona wanavimbaa kumbe nooooo nguvu zakiume na zikiwepo ya bahati hela hana .
Sasa mnataka nini mkiachwa .
Woiii
 
Sijui kwa nini nikiona nyuzi zako namkumbukaga mdogo wangu Demiss mana naye alijua sana kuwachamba Me wa humu.

Yaani alikuwa hawapumzishi. 😀😀😀
Ndioo wanajiona hawana hela pili wanajisikia hawana lolote wapo tu lazima uwaseme nimeanza hii shida yakuwachamba kwa maana wanawatesa watu kwenye miji yao.

Wanawaita wanawaweka mahali wanasepa hata chakula hawampi inauma nitawachamba sijali nitawachamba sana sijali watafanya nini
 
Hili povu sio la bure...kuna mtu keshaliwa hapa kaachwa solemba[emoji1787][emoji1787]
Daah mdgo wangu hizi sosho netwek sio za kuaminiii
Wanajaa PM.hukooo ....wanalugha nzuri unaingia kingi...daah pole...next tym usiamini mtu[emoji1787][emoji1787]
Wakija PM.we soma ziache hapo hapo
Sijaliwa mimi kuna walioliwa wananiomba niwachambe humu fala gani anaweza kunila au kunitumia hawa .
1. Nguvu za kiume hawanaga
2. Wanaume matunzo sio kuwaacha watu guest .
3. Ananjaa lazima tuwaseme nilazima
 
Humu kuna wanaume wanaringa kama nini.
Sasa ukiwafuatilia kwa undani hata mbele nyuma hawajijui wapo tu.

Hawana pesa wala nini wote ni shida.
Good man , gentlemen nilazima mtu awe anapesa, source of investment.
Halafu ndio aringe sasa unapanga halafu bado wewe unapambania bidhaa ya mwanaume mwenzako ipate wateja ish hii inaitwa bado wewe ni mtumwa katika nchi yako.

Gari ya mikopo bado unakopa .
Eti unaoa lini bado nipo nipo woi huna hela .

Huna mwelekeo unasubiria alert ya ka 1 ml ionekane kwenye simu.

Kweli samahanini ila humu wanaoringa ni boyas .

Unapanga hadi leo umelogwa rudi kijijini kwenu ukatambikiwe unamikosi .
Huu mwaka wa 31 unapanga je tukikadiria miaka yako si miaka ya uhuru kabisaaa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unatoa madongoo nahujui asha anamimba yako tena huidumii ukidai sio yangu kumbe hela huna badilikeni mna sonya wasichana mnaota wanawake wamajuu na unaishia baa kujidunga shida nini na ni ndoto tu uhalisia upo nani kina mwanaidi oa tulia miaka imeshaenda siku moja haitatoka maji wala povu .
Nikavu tu .
Hata uipike .
Shauri zenu .
Mapovu ruksa waliooa umiza kichwa tu hela hakunaga eti unamradi wakuku kuku wenyewe ni wakisasa
Una point nxuri ambayo ungetulia pengine ungeweka madini yakutosha nondo kwa magentleman na kutupa maushauri haswa ..... TATIZO UNAONGEA KWA JAZBA UTADHANI UMEGOMBANA NA KIJIJI EB RELAX PANGILIA KILE UNACHOTAKA KUTA ASA VIJANA .... pata glass ya maji then endelea kutupa nondo mkuu
 
Kumbe kidem cha Arusha yale yalee kuna wadau wanawakandiaga[emoji1787][emoji1787]
Hiyo yakumpangia mtu lazima awe anasali madhehebu fulani amenishangaza kidogo alafu kingine yeye ana elimu ya diploma lakini anataka mwanaume awe degree kwenda mbele kiukweli nimeangalia tangazo lake na hata nyuzi zake sioni uchamungu wake hata kidogo
 
Ndioo wanajiona hawana hela pili wanajisikia hawana lolote wapo tu lazima uwaseme nimeanza hii shida yakuwachamba kwa maana wanawatesa watu kwenye miji yao.

Wanawaita wanawaweka mahali wanasepa hata chakula hawampi inauma nitawachamba sijali nitawachamba sana sijali watafanya nini
Hahahaaa. Lol.

Wape vidonge vyao.🤣
 
Humu kuna wanaume wanaringa kama nini.
Sasa ukiwafuatilia kwa undani hata mbele nyuma hawajijui wapo tu.

Hawana pesa wala nini wote ni shida.
Good man , gentlemen nilazima mtu awe anapesa, source of investment.
Halafu ndio aringe sasa unapanga halafu bado wewe unapambania bidhaa ya mwanaume mwenzako ipate wateja ish hii inaitwa bado wewe ni mtumwa katika nchi yako.

Gari ya mikopo bado unakopa .
Eti unaoa lini bado nipo nipo woi huna hela .

Huna mwelekeo unasubiria alert ya ka 1 ml ionekane kwenye simu.

Kweli samahanini ila humu wanaoringa ni boyas .

Unapanga hadi leo umelogwa rudi kijijini kwenu ukatambikiwe unamikosi .
Huu mwaka wa 31 unapanga je tukikadiria miaka yako si miaka ya uhuru kabisaaa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unatoa madongoo nahujui asha anamimba yako tena huidumii ukidai sio yangu kumbe hela huna badilikeni mna sonya wasichana mnaota wanawake wamajuu na unaishia baa kujidunga shida nini na ni ndoto tu uhalisia upo nani kina mwanaidi oa tulia miaka imeshaenda siku moja haitatoka maji wala povu .
Nikavu tu .
Hata uipike .
Shauri zenu .
Mapovu ruksa waliooa umiza kichwa tu hela hakunaga eti unamradi wakuku kuku wenyewe ni wakisasa
Umeongea Kwa uchungu saaana
 
Humu kuna wanaume wanaringa kama nini.
Sasa ukiwafuatilia kwa undani hata mbele nyuma hawajijui wapo tu.

Hawana pesa wala nini wote ni shida.
Good man , gentlemen nilazima mtu awe anapesa, source of investment.
Halafu ndio aringe sasa unapanga halafu bado wewe unapambania bidhaa ya mwanaume mwenzako ipate wateja ish hii inaitwa bado wewe ni mtumwa katika nchi yako.

Gari ya mikopo bado unakopa .
Eti unaoa lini bado nipo nipo woi huna hela .

Huna mwelekeo unasubiria alert ya ka 1 ml ionekane kwenye simu.

Kweli samahanini ila humu wanaoringa ni boyas .

Unapanga hadi leo umelogwa rudi kijijini kwenu ukatambikiwe unamikosi .
Huu mwaka wa 31 unapanga je tukikadiria miaka yako si miaka ya uhuru kabisaaa😂🤣🤣🤣 unatoa madongoo nahujui asha anamimba yako tena huidumii ukidai sio yangu kumbe hela huna badilikeni mna sonya wasichana mnaota wanawake wamajuu na unaishia baa kujidunga shida nini na ni ndoto tu uhalisia upo nani kina mwanaidi oa tulia miaka imeshaenda siku moja haitatoka maji wala povu .
Nikavu tu .
Hata uipike .
Shauri zenu .
Mapovu ruksa waliooa umiza kichwa tu hela hakunaga eti unamradi wakuku kuku wenyewe ni wakisasa
Mkuuu vip yamekukutaa nini

Pole mkuu kwa yaliokukuta

Achana na wanaume wa Dar njoo huku mkoani mkuu hutopitia tena yaliyokukuta mkuu
 
Inaonekana dada umepigwa mti halafu umeachwa maana mada zako n masimango matupu kwa wanaume

Ukiona hvyo ujue haijakidhi vigezo vyake
Utampata wa kufanana na wewe

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom