Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Mbona umeandika makasiriko Sana?pole dada tamaa zimekuponza
Tamaaa zipi???
Yaani jamii forum humu nyie ni wamasikini wanaume halafu nikajiuze kwenu kwa hela gani kuna mtu mmoja humu ndio kanisikitisha mlimtumia mtu mkamuacha guest bila matunzoo nikaona bora niwachambee mnanini mpaka mnaudhubutu m
 
Stress zinakusumbua, tafuta tiba kabla halijawa tatizo kubwa!
Siulisema unataka nikutumi picha zangu usambaze halafu ukasema mimi nikatoto kaarusha ulitaka niwe wa dodoma au waukomazi wenu kamtu kamekoomaa unanilinganisha nae shubameeet
 
UKIONA MANYOYA UJUE KESHALIWA😂😂😂
MIMI NAMSHANGAAGA HUYU NA SIMUELEWI.KILA WAKATI MAANDIKO YAKE NI KAMA AMETEMBEA NA WENGI AKIFIKIRI WATAKAMILISHA MAHITAJI YAKE KUMBE HAKUNA SASA ANAUMIA ANATUMIA MACHAMBO HAJUWI ANAMGUSA NANI,ILIMRADI JIWE GIZANI.
 
Stay tuned they will be back for more..[emoji1][emoji1] andaa nguvu za kumshusha uzi mwingine
 
usikute lijamaa limerudisha muamala baada ya uchakataji (limekuta vipele vingi kuliko tiles)
Damn naona huu mwaka umeanza vibaya kwa sisi wanaume wa jukwaa letu pendwa la jf.Ila kuna kitu kinanifikirisha kichwani ni nini kinaendelea humu mbona inaelekea wenzetu wanatapeliwa sana kwa kupigwa shows za bure!!!!!
 
QUOTE="lovel, post: 42427436, member: 655266"]
Hlf demu amekaa mswahili swahilii ukichek response yake...mmh nawapa wanaume pole..ukikutana na dem wa hvi..lzm ukonde
Seems ana mdomo mchafu sana
Good na badoo ngoja nikupe short brief about me naitwa bety naishi Arusha nilizaliwa arusha mzee wangu akampa mzee mkubwa nikaenda kusoma Tanga .
Nikaishi Tanga so nilipopata kazi Dar nikaenda Dar miezi 6 nikapelekwa Mwanza nikakaa mwaka mzima.
Walipojielewa nini wanafanya nikarudi Dar baada ya mwezi nikarudi huku nikaendelea na kazii.
Hadi sasa so kwa mdomo mchafuu huu ni mzuri sana.
Kwa watu kama nyie.
[/QUOTE]
Binti una Stress......tatizo mademu wa JF wengi hamna mvuto kama mnavyotuaminisha kwenye kuchat ndiyo maana jamaa amakugegeda mara chache na ameingia mitini sababu ameona hailipi......hata mimi nilishawakimbia mademu wa humu wengi tu enzi za ujana wangu ,sababu kwenye simu sauti nyororo, kwenye kuchat maneno matamu na picha za kufilter.... lakini mkitokea live mpo hovyo kabisa
 
Tamaaa zipi???
Yaani jamii forum humu nyie ni wamasikini wanaume halafu nikajiuze kwenu kwa hela gani kuna mtu mmoja humu ndio kanisikitisha mlimtumia mtu mkamuacha guest bila matunzoo nikaona bora niwachambee mnanini mpaka mnaudhubutu m
Hata ningekuwa mimi ningekuacha guest kimeo kama wewe
 
Lakini mabahari aliyemuumiza huyu dada ! Akamwombe msamaha [emoji3][emoji3][emoji3] tunakoelekea hali si nzuri !! Sema dada na wewe sijui ni unavyojiweka ? Mbona unakumbana na misala ya mabaharia sana !! Daah You deserve better !!
 
Back
Top Bottom