Huna Wajibu wa kumtunza au kumhudumia Mzazi wako akiwa chini ya miaka 60 kama haumwi

We kama huwapendi wazazi wako au ndugu zako vunja undugu anzia na baba yako na mama yako alafu wafuate watu wengi
 
Siamini kwamba huwezi endelea eti kwa sababu unasaidia ndugu zako huo ni uongo
Maisha hutakiwi kuyaogopa

Kama kila kitu cha kiafrika mnakikataa basi na huo ushoga wa wazungu muukubali
 
Siamini kwamba huwezi endelea eti kwa sababu unasaidia ndugu zako huo ni uongo
Maisha hutakiwi kuyaogopa

Kama kila kitu cha kiafrika mnakikataa basi na huo ushoga wa wazungu muukubali

Ushoga ni tabia sio tamaduni.
Tofauti tamaduni na tabia.
Wazungu hakuna tamaduni ya ushoga.
 
ushauri wangu
DELETE HII MADA KWANI HAINA AFYA KWA JAMII
Wazazi ndio kila kitu hapa duniani; Wasaidie kwa kadri Mungu alivyo kubariki na wala haina uhusiano na umri

Hakuna kitu kisichokuwa na uhusiano na umri.
Hizo shule mmesomea ujinga?

Alafu kama unaakili nzuri huwezi kushindwa kuelewa mada hii inazungumzia nini.
Hakua sehemu nimesema mtu asisaidie mzazi wake ila nilichoandika ni kuwa sio wajibu mtu kumsaidia mzazi aliyechini ya Miaka 60 ambaye HAUMWI.
Ni hiyari au mapenzí.
 
Siamini kwamba huwezi endelea eti kwa sababu unasaidia ndugu zako huo ni uongo
Maisha hutakiwi kuyaogopa

Kama kila kitu cha kiafrika mnakikataa basi na huo ushoga wa wazungu muukubali
Maswala ya ushoga yanaingiaje hapa?

Ndio huwezi endelea ukizidisha misaada kama unabisha sawa.

Kusaidia kuna kiwango chake ndio maana hata maandiko yakaweka fungu la 10 at least 10% ya unachopata kitoe sadaka. Ila kifamilia unasaidia asilimia 80 ww unabaki na 20% utafanya nini cha maana?
 
Mkuu sijasoma ila nadhani siko upande wako
 
Hizi roho za kichawi zirudishe kwenye ukoo wenu,, kusaidia mtu hautaji umri. Kuna watu mitaani wengine ni vijana na wanasaidiwa bila hata kuwa na nasaba nao.
Kama unauwezo wa kupata bundle na kuandika huu upuuzi hapa mshukuru Mungu wako usidhani na kujiona kuwa wewe ndo mwenye akili kuliko wote.

Ok fine mzazi yuko chini ya miaka sitini hana kazi, unatake home ya ten digits kuendelea uko tayari kwenda baa ili hali baba na mamako wanalala na kushinda njaa kwa sababu tu wako below 60, narudia hii roho ya kichawi peleka kwenye jukwaa la ukoo
 
Kuna mambo ni magumu kujadili kama huna Imani ya Kiroho. Kama unauwezo wahudumie Wazazi wako kama huna muonbe Mungu akusaidie. Ipo nguvu kuwatumia Wazazi matumizi na pia ipo nguvu kwa mtoto anajuwa kumshika mkono mzazi wake. Bilget ni Tajiri mkubwa ila hawezi kataa akipelekewa Zawadi na mtoto wake. Au akihudumiwa jiulize kwanini? Kama Mungu alimjaribu Abraham akamtama amtolee sadaka nizaid sana kwa Wazazi wetu. Jifunze kuondoa mikosi na mabalaa kwa kutoa sadaka hasa kwa Wazazi wako na kwenda kuwaona hutojuwa thamani ya Wazazi wako mpaka wanakufa wewe ule nyama Wazazi wale mboga za majani utakufa utawaacha Wazazi🤐
Kijana mmoja akiwa mjini alisikia Wazazi wamepata mafuriko vijana wakauza kila kitu na kupukitisha mitaji kuwahengea Wazazi wakarudi mjini bila kitu wale madogo wanasema hawajuwi pesa zilitoka wapi ila walipiga pesa yakufa mtu. Leo ni matajiri. Walikuwa na uwezo kupotezea nakuendelea na maisha ila wakarudisha kwa Wazazi. 😭🤐
 
uanaharakati unavuruga sana taasisi za ndoa na familiia
 

Msingi wa imani yako ni Biblia.
Embu tupe kisa kimoja ambacho mzazi anatakiwa ahudumiwe tena akiwa umri wa kufanya kazi na haumwi
 
Jamaaa kaongea ukweli yaan ndio inatakiwa hivyo kumzaa mtoto sio sababu ya kumbebesha mzigo www umeishi duniani karibu miaka 60 huna kitu umeshindwa kujitunza halafu unataka binadamu mwenzako ambae nae hana kitu akuangaikie kwa kitu ulichoshindwa wewe kama unataka kuwa fair usizae tuone kama kuna lawama au mzigo utapata duniani
 
Hauna nidhamu wewe.
 
Inatakiwa wazazi watafute namna waweze kujitegemea kipindi cha uzeeni, ni kama ushauri yaani

Lakini ikishatokea hayupo vizuri na unaweza kumsaidia, hata kama yupo under 60, hamna namna nyingine zaidi ya kumhudumia
Shida watu hawajamuelewa yeye hajakataa mtu kumhudumia mzee wake ila amesema sio lazima kama hajafika miaka 60... Yaani kama ambavyo hata kisheria mzazi hawajibiki kwa mwanae baada ya miaka 20 vivo hivyo kuna umri ambao mtoto hawajibiki kwa mzazi wake labda kwa mapenzi yake... Hapo sasa inategemea uhusiano wa mtoto na mzazi... Yaani wanaivaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…