Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #41
Nimecheka sanqMi nakushauri mkuu kila mkoa unaoenda hakikisha unafikia kwa kalumanzila wa mkoa unaweka sawa then unaendelea na mambo za ofisini yani hapo kila wakienda kuharibu kwa mkuu wa idara ni km wanakupigia debe Mwachiluwi ndio aende tu hatutaki mwingine
#Ila mkuu hizi nyingne zote mbwembwe tu mganga mungu tu na hpa ndio pakushikilia