Nani kakudanganya hakuna short cut? Anayeshinda bahati nasibu hajapita short cut?????Heshima yote ishaisha, watu waliomnyenyekea wote washampuuza sasa, ameingia kwenye kumbukumbu mbaya watafutaji tukumbuke hakuna shortcut kwenye maisha,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakudanganya hakuna short cut? Anayeshinda bahati nasibu hajapita short cut?????Heshima yote ishaisha, watu waliomnyenyekea wote washampuuza sasa, ameingia kwenye kumbukumbu mbaya watafutaji tukumbuke hakuna shortcut kwenye maisha,
Nani kakudanganya hakuna short cut? Anayeshinda bahati nasibu hajapita short cut?????
Unashindwa kumfanya baba yako kuwa role model wako kwa kulima shamba la hekari 1000 kwa jembe la mkono huko kwenu Namtumbo unamkubali tapeli.Huyu jamaa namkubali kinoma infact ndo rollmodel wangu
Unamfahamu huyu?Kafanye forex ndio utoboe. Tajiri yupi unamfahamu wewe alitoboa kwa kucheza bahati nasibu au kamari na iko kwenye rekodi kabisa kua huyu alitoka sababu ya bahati nasibu
wahalifu wakubwa ambao ni ma-genius huwa hawakamatwi na wala huwezi kuwakuta instagram wakifanya showoff za kajinga.Jamaa genius
Hahaaa atatongozwa mpaka akomeSasa hivi anaenda kwenye zile jela za marekani watu wamepinda anaenda na sura yake ya scrub na facial wakamle makalio msengerema yule.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi anaenda kwenye zile jela za marekani watu wamepinda anaenda na sura yake ya scrub na facial wakamle makalio msengerema yule.
Ukiwa maarufu,no matter how.kigezo cha kupata bluetick ni kipi?
Yaani mtu anajijua mwizi halafu showoff kibao. Acha aende jela ila Gucci wanapoteza mteja,hope watamshonea uniform ya jela.Uhuru na majivuno umefikia kikomo
Apambane na mkono wa sheria.
movie zinawadanganya , jela za ulaya kama upo hotelini tu, chakula kizur, unalala pazuri, viwanja vya michezo. n.k,Jela za unyamwezini ni noma, watu watakula kiboga hata kwa nguvu. Kule lazima abakwe tu.
Genius anajiachia hivyo kwenye mitandaoJamaa genius
[emoji16][emoji16][emoji28]Instagrammer na tiki yake,kumbe tapeli mwizi wa kutumia internet.
Scammer la mtandaoniAngekuwa Genius,asingekamatwa.
Lakini bata kala...uwongo mbayaaNi kweli ila mwisho wake ni mbaya.
WATU wanaopendeza bila kujua wanafanya nini.
Ni wa kuwaangalia sana
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Okey fanya mambo sasa.Huyu jamaa namkubali kinoma infact ndo rollmodel wangu
Lakini bata kala...uwongo mbayaa
Walikuwa wakimchunguza long time tu.