Hushpuppi afikishwa Marekani, asomewa mashtaka ya utakatishaji pesa. Atuhumiwa kutapeli club moja ya EPL £100M

Hushpuppi afikishwa Marekani, asomewa mashtaka ya utakatishaji pesa. Atuhumiwa kutapeli club moja ya EPL £100M

Hana akili,ukiwa unafanya mambo kama haya hutakiwi kujianika kama alivyokuwa anafanya. Kula bata ila usianike mtandaoni ili kujifanya influencer. Mimi nilikuwa simfahamu,nilivyoona hii case ikabidi nikachungulie instagram page yake nilishangaa sana. Halafu kila anakokwenda anapost. Lazima FBI wamtilie shaka tu na kuanza kumfuatilia,maana kazi anayofanya ilikuwa haieleweki. Ila bata anazokula sasa ni balaa.
Mbwe za Insta ndio zimemkamatisha mbaya zaidi wanaija wanakwambia jamaa hajawekeza kwao hela nyingi alikuwa anazitumbua huko huko Dubai.
 
Genius anajiachia hivyo kwenye mitandao
Huyo alikuwa na ushamba fulani

Ova

Serious criminals hata alama hawaachi huyu alikua fala tu aliesoma IT na wenzake wakipiga dili chafu akishapata mtaji anamove kutoka crime zone anakua msafi mkija kushtuka ana miradi ya kuonekana na magenius mchongo anaupiga peke yake sio na wengine
 
Marekani sio Ulaya mkuu, embu kuwa serious kidogo. Halafu fanya research uzijue jela za unyamwezini , yaani bora uende Segerea utakuwa salama, sio kule kaka.
Marekani sio Ulaya mkuu, embu kuwa serious kidogo. Halafu fanya research uzijue jela za unyamwezini , yaani bora uende Segerea utakuwa salama, sio kule kaka.
we movie zinakudanganya, jela za marekani ni sawa na ulaya tu, mahitaji yote muhimu, chakula kizuri, mahali pa kulala safi, usalama upi sijui unauzungumzia wewe maana kule wanajali haki zote za binadamu, ndio maana black america kwenda jela kwao ni kitu cha kawaida. wanaingia na kutoka kila siku
 
we movie zinakudanganya, jela za marekani ni sawa na ulaya tu, mahitaji yote muhimu, chakula kizuri, mahali pa kulala safi, usalama upi sijui unauzungumzia wewe maana kule wanajali haki zote za binadamu, ndio maana black america kwenda jela kwao ni kitu cha kawaida. wanaingia na kutoka kila siku

Ondoa mawazo kwamba nadanganywa na movie kwasababu mimi naishi huku kwa nusu ya maisha yangu kwa sasa. Mimi nakushauri tu, usisikilize story za vijiweni. Jela za Marekani si salama kabisa, ni kitu cha kawaida watu kubakwa au kuuawawa. Usiongee vitu usivyovijua mkuu, nakushauri fanya research kabla ya kuniquote tena.
 
View attachment 1497386
Socialite wa mitandaoni kutoka Nigeria, mfanyabishara hewa Hushpuppi aliekamatwa mwezi uliopita mjii Dubai amehamishiwa Marekani na kusomewa mashtaka ya utakatishaji pesa na uhalifu wa kimtandao.

Atuhumiwa kutaka kutapeli club moja ya EPL wamtumie Pound 100M sawa na Dollar 124M au Bilioni 280 za kitanzania.

Yeye na genge lake la utapeli la kimataifa wamehusika katika wizi wa mabilioni ya pesa kwa njia ya mtandao.


Hushpuppi kama ASHIPAPI mamaeeee bora kapelekwa USA maana DUBAI hukumu yake ingekuwa simple tu!!
 
Ondoa mawazo kwamba nadanganywa na movie kwasababu mimi naishi huku kwa nusu ya maisha yangu kwa sasa. Mimi nakushauri tu, usisikilize story za vijiweni. Jela za Marekani si salama kabisa, ni kitu cha kawaida watu kubakwa au kuuawawa. Usiongee vitu usivyovijua mkuu, nakushauri fanya research kabla ya kuniquote tena.
Mkuu funguka zaidi, kwahiyo sio salama? Kwani ndani ya jela hakuna ulinzi?
 
Marekani sio Ulaya mkuu, embu kuwa serious kidogo. Halafu fanya research uzijue jela za unyamwezini , yaani bora uende Segerea utakuwa salama, sio kule kaka.
Jela zao kuna gang's, weusi zao, wa Spanish zao Russia zao . Time yoyote unaweza ukauliwa.you have to watch your back hakufai. Drugs humohumo na inasemekana kifungo chake kitakuwa karibu miaka 20
Miaka 20 jela sio mchezo ila jamaa ka trend
 
Ushamba na ulimbukeni...angeishi under the radar asingedakwa kindezi...
Unaibia beberu kiakili whil u r from a shithole country in a dark continent, mvua miaka 400+, hapo ni consecutive life sentences...
Instagram influencer anaenda ku pass the soap...


Everyday is Saturday............................ 😎
 
Back
Top Bottom