secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Una alegi na hilo neno kwani.....!!?Unanionea mkuu[emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una alegi na hilo neno kwani.....!!?Unanionea mkuu[emoji16][emoji16]
Uyu jamaa namjua kabsa nili ongea nae kabla aja kamatwa
Akili kubwa hizo,
1 person won the $768 million Powerball — here's who won the 5 biggest US lottery prizes everKafanye forex ndio utoboe. Tajiri yupi unamfahamu wewe alitoboa kwa kucheza bahati nasibu au kamari na iko kwenye rekodi kabisa kua huyu alitoka sababu ya bahati nasibu
Mnakuonea kweli Namtumbo,Unashindwa kumfanya baba yako kuwa role model wako kwa kulima shamba la hekari 1000 kwa jembe la mkono huko kwenu Namtumbo unamkubali tapeli.
Kweli hiki kizazi kina laana.
kwa hiyo utafananisha na jela za TANZANIA? kulala kwa mchongoma(unalala mwenzako kakuwekea miguu uson, ole wako uitoe) chakula kibovu unga umechanganywa na magunzi)mboga ndio usiseme kama unakunywa maji, kukalishwa juani uchi unainama kukaguliwa matako kubakwa au kuuwawa kuko jela zote duniani kumbuka wanaoenda uko ni wahalifu, hata huku bongo gerezan watu wanapigana sana na kuuana, sema haitangazwi, tuliowahi kwenda huko tunaelewa,Ondoa mawazo kwamba nadanganywa na movie kwasababu mimi naishi huku kwa nusu ya maisha yangu kwa sasa. Mimi nakushauri tu, usisikilize story za vijiweni. Jela za Marekani si salama kabisa, ni kitu cha kawaida watu kubakwa au kuuawawa. Usiongee vitu usivyovijua mkuu, nakushauri fanya research kabla ya kuniquote tena.
halafu shangaa wanaume wenzie low income wanaokaa kwa mashemeji zao wengine waliokalisha makalio yao wanafurahia bilionea kuanguka, hua nashangaa sanaHawa ndio wanaume waliosalia
Nimefuatilia historia yake imeniacha nikiwa naimarika kuwa mbali zaidi na raia yeyote na Wanaijeria. Hawa watu wanaitesa sana SA. Hata vurugu za wenyeji chanzo ni hawaAngekuwa Genius,asingekamatwa.
angalia mjinga mwingine huyu...Sasa hivi anaenda kwenye zile jela za marekani watu wamepinda anaenda na sura yake ya scrub na facial wakamle makalio msengerema yule.
ila sishangai watanzania maskini ndivyo mlivyokuzwa kufurahia matajiri wakianguka hahaaUhuru na majivuno umefikia kikomo
Apambane na mkono wa sheria.
dah wabongo bwana..Watu wenye fedha safi hua hawana sababu ya kutumia nguvu kubwa ili waonekane wana fedha wao hufanya vitu kistaarabu kabisa huku miradi yao ikiwa ya kuonekana, alijiita mwekezaji real estate lakini hakuna lolote
Ni kweli naweza kua mjinga ila ndio ninaemvua mama yako chupi.
wewe ulishawahi kulima shamba la ekari 1000 kwa jembe la mkonoUnashindwa kumfanya baba yako kuwa role model wako kwa kulima shamba la hekari 1000 kwa jembe la mkono huko kwenu Namtumbo unamkubali tapeli.
Kweli hiki kizazi kina laana.
wacha bwana , duh wabongo ni nomaJela za unyamwezini ni noma, watu watakula kiboga hata kwa nguvu. Kule lazima abakwe tu.
ni sawa tu, ila ndio masikini mlivyo mnajitapa ngono, na kufurahia matajiri wakianguka ..hivyo sina pasi na shaka wewe ni masikini wa kutupwa fukara wa kiwango cha lami.Ni kweli naweza kua mjinga ila ndio ninaemvua mama yako chupi.
Angalia mama yako wanaume anaopenda kutembea nao, ndio caliber yangu. Kama anapenda masikini wa kutupwa basi mimi ni masikini wa kutupwa, kama anapenda wenye hela basi nina hela za kutosha.ni sawa tu, ila ndio masikini mlivyo mnajitapa ngono, na kufurahia matajiri wakianguka ..hivyo sina pasi na shaka wewe ni masikini wa kutupwa fukara wa kiwango cha lami.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikukubali wewe unanipa mqumdu?wewe haukubali wanaume wengine ...huna akili mbuzi wewe..hata mbuzi wana akili... uhuru wa kumkubali mtu mwingine inaingiliana vipi na baba yake kumzalisha inaingiliana vipi na kulima kwa jembe la mkono, inaingiliana vipi na upendo wake kwa baba yake mzazi..
Sent using Jamii Forums mobile app