Special mission ni kumhubiri mungu mmoja tu na kuwakumbusha watu kufuata amri zake na kuacha makatazo aliyoweka, wewe ulidhani kuna nini kingine?Hapo lazima muwe na special Mission tu.. hata kwenye paragragh yako ya mwisho inajieleza
Waislam wasipozungumzia Yesu, hawana Tena Cha kuzuñgumza.Happy Christmas
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Huyu mchochezi wa kidini waarabu walipoandaa kombe la dunia huko Qatar walimpeleka eti aendeshe midahalo ya kuwasilimisha wazungu. Matokeo yake alikutana na dada mwafrika akamtoa kamasi. Kimsingi huyu hoja zake ni za kizamani na zilishanibiwa amejichokea kama akina mazinge. Hata hivyo kwenye nchi kama bongo yenye mchanganyiko wa dini mbalimbali wanaoishi pamoja haikuwa busara kuleta huyu kutumwagia simu. Nashangaa mpaka TV ambayo ni ya matangazo kwa umma na ambayo tunailipia Kila mwezi ndio Ipo bize kumtangaxs.
View: https://youtu.be/dkb0uSYJt_0?si=XbYCYU9qqc48v7a7
Pole sana kwa kukosa maarifa.Wakristo nina uhakika kama mngekuwa mnausoma Ukristo wenu, sijui kama Ukristo ungesalia katika dunia hii.
Huyu dada anaongea vitu kama mwendawazimu hivi.
Kitu kinachowagharimu Wakristo ni kutokuwa na matini ya asili ya kitabu chenu, kutafsiriwa kwa lugha nyingi kumefanya asili na maana ya maandiko kupotea, ndio kilicho mkuta huyo dada.
Huyoo naik sijuii aje kwanguSifahamu uelewa wako kuhusu dini, ila jamaa ni level nyingine coz ana ufahamu,uelewa,uzoefu,maarifa,elimu,ujuzi kuhusu dini zote za hapa duniani.
Hili haliji mara moja linachukua muda kidogo na hata miaka kadhaa.Jamaa huwa hapendi kubishana (sifa ya watu werevu).
Ni mwanazuoni nguli kwa waislamu na kwa mambo ya dini.Ameizunguka karibu dunia nzima, kwa level yake naona huna jipya la kumwambia.
Kwanza unaonekana una papara na mhemko najua hukosi jazba na hasira!
Hahahah mazinge mwehuC
Anaweza kumfikia professor mazinge kwa umahiri wake?
Wewe umeyaona wapi hayo Makanisa?unataka kutuambia wewe unaweza kusali kanisa la wasenge , Gay church au kanisa la Shetani , Satanic church ??
mungu mmoja yupi, anaitwa nani?Special mission ni kumhubiri mungu mmoja tu na kuwakumbusha watu kufuata amri zake na kuacha makatazo aliyoweka, wewe ulidhani kuna nini kingine?
unaingia mitini mkuuKwa hiyo huyo shekh anajua uislamu kuliko muhammad...? Maana maswali yangu mimi hata muhammad hawezi kuyajibu hata moja
Wana Ile kitu inaitwa inferiority complexHawa majamaa siju wanashida gani
Tatizo mimi niki ingia kazini kuelezea dini na kuuliza maswali hua mwisho wake ni muislamu kuacha kwenda msikitini na mkristo kuacha kwenda kanisani na hata akiendelea kwenda hua aendi kwa moyo kama ule wa zamani.unaingia mitini mkuu
Sawa mkuuTatizo mimi niki ingia kazini kuelezea dini na kuuliza maswali hua mwisho wake ni muislamu kuacha kwenda msikitini na mkristo kuacha kwenda kanisani na hata akiendelea kwenda hua aendi kwa moyo kama ule wa zamani.
Mtafute shekh atakuonyesha aya ndani ya uislamu wa muhammad ni wapi alifufua..kwa nini nikujibu kwa biblia wakati aya zipo ndani ya msahafu wako ...kwa kusema yesu awezi kufufua na kusema yesu ni mtume wa mungu huoni kuwa umemwekea mpaka mungu wako wa kutenda kazi kwa kutumia mcha mungu wake ? Mtume au nabii ni mtumishi mkubwa wa Mungu hivyo kwa kusema aiwezekani mtume kufufua mfu ni sawa na kusema mungu hana uwezo wa kufufua maana mitume utenda yale tu yaliyo amliwa na munguTatizo ni ushahidi wa aya , wapi Yesu kafufua mtu ??
Binafsi napendekeza TBS na Fire wawe makini zaidi.Ata mm nimeshangaa tcra waangalie hapa
Mtafute shekh atakuonyesha aya ndani ya uislamu wa muhammad ni wapi alifufua..kwa nini nikujibu kwa biblia wakati aya zipo ndani ya msahafu wako ...kwa kusema yesu awezi kufufua na kusema yesu ni mtume wa mungu huoni kuwa umemwekea mpaka mungu wako wa kutenda kazi kwa kutumia mcha mungu wake ? Mtume au nabii ni mtumishi mkubwa wa Mungu hivyo kwa kusema aiwezekani mtume kufufua mfu ni sawa na kusema mungu hana uwezo wa kufufua maana mitume utenda yale tu yaliyo amliwa na mungu
Wewe umeyaona wapi hayo Makanisa?
Na ulikuwa unafuata nini huko ?
Hebu sema hapa Tanzania hizo Kanisa ziko wapi ?
Kumbe wewe ni Gay... !