Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Ata mm nimeshangaa tcra waangalie hapa

YESU lazima ajadiliwe. Yeye ni mwokozi wa ulimwengu. Hata Mohamed anamtumaini yeye.

Na Siku za mwisho injili itahuburiwa Dunia kote hii ni pamoja na misikitini.
Huelewi imani kiongozi, binafsi huaga sishadadii sana mambo hayaa.

Naangalia tu mim na imani yangu basi.

Maana unaweza Kuta mtu kashadadia haya lakin mwisho wasiku imani yake na matendo yake ni ya hovyo saana.

Mijadala ipo na inafanyika Kila mahala sema wengi mnapandikizwa imani ambayo hamuwez kuzibeba.

Angalia na sikiliza kama Kuna zuri waweza chukua Kam hamn Baki na uliyonayo.
 
Sasa mi na wewe nani ameandika pumba na kwa mihemko? Unajua maana ya mdaharo au umejiandikia tu kama upo madrassa? Tangazo limetangazwa Azam Sport HD na wamesema anakuja yeye na mtoto wake. Atakuwepo Zanzibar pamoja na Dar.

Tittle ya mdaharo ni Yesu v/s muhammad. Ukishasema mdhaharo ina maana kuna pande mbili. Sasa ni yeye na mwanaye na wanajadili kuhusu Yesu na Muhammad. Je hapo kuna mdaharo? Kwanini wasingesema ni muhadhara au mahubiri yenu ya kiislam.

Kama ni mdaharo wangesema ana debate na nani? Alafu jitahid basi kuficha uchi wa akili yako we maamuma.

Pumbavu.
 
Sasa shida iko wapi, kwani Jesus baba yako hata umtetee, Yesu anajiteea mwenyewe. Wewe kula ugali wako ukalale.
 
Anafanya mdahalo dhidi ya nani? Wangetangaza anafanya mdharo wa Yesu VS Muhammad labda against @Cocastica au agains fulani. Huo ndio mdahalo na sio kuja yeye na kuanza kueleza kuhusu mada tajwa akiwa peke yake. Hapo wangesema ni muhadhara wa kiislam na sio kingine.
 
Amsifiaye mvua imemnyeshea. Umeona sehemu nimetaja hilo Neno? Kwakuwa unashikishwa ukuta ukipigwa bomba unajua kila.mmoja anapumuliwa?

Kifupi tunawajua nyie wajukuu wa allah huwa mnatukana mkizidiwa.

Sawa twende taratibu na unijibu. unajua maana ya mdahalo? Wanaposema mdahalo alafu anakuwa huyo shehe peke yake huo ni mdahalo?
 
Huo mdahalo naona unawahusu Wayahudi na Waarabu wanaowajua vizuri hao watu wao.
Kumsemea mtu wa kabila lingine wakati wenye kabila hilo wapo ni huo mdahalo kukosa mantiki.

Hapo waitwe Waarabu wanaomjua vizuri Muhammadi na Wayahudi wanao mjua ndugu yao Yesu ndio wajadiliane kuhusu hao watu wao walivyokuwa.
 
KUna kampuni niliwahi kufanya kazi kama dereva wa lori.........
Wengi walijifanya waislamu ii maisha yaende......kuna jamaa (hamood) haipiti siku yuko bize kuwatamka wakristo....kwamba wanaenda chooni bila maji....kwamba ukristo uliletwa na wazungu...kwamba dini yao ni ya kweli...kwamba waislamu wanaonewa,,,kwamba kuruani inasema wakristo wote wanatakiwa wauawe,,,,,,kwamba..Paulo kwenye Agano jipya kajivika madaraka..kajipa utume alafu Yesu akampa UUngu.....Kwamba hakuna kumpa "mkirisito"(kwa matamshi yake) Lori wakati ndugu zake waislamu wako kijiweni...siku hiyo natoka safari naingia yard nimevaa kibaraghashea na kanzu yangu namuona ustaadh anajongelea kwenye gari....kabla hajanipa salamu nikajua tu hapa nishapigwa jungu....akasema wewe shehee...kumbe ni mkirisito wewe...nikamwambia ndio....akasema njoo ofisini......
 
Then kilichofata mkuu,tumalizie basi kisa kitamu sana inavyoelekea.......
 
Atakaye kuwepo aniulizie swali moja tu kwenye Qurani.

Ni nani anayeongea katika Surat Faatiha ?

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ
(AL-FAATIH'A - 1)
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
الْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ
(AL-FAATIH'A - 2)
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;
الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ
(AL-FAATIH'A - 3)
Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;
مَالِكِ يَوْمِ الدِّينِ
(AL-FAATIH'A - 4)
Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.
إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ
(AL-FAATIH'A - 5)
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
اهْدِنَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيم
(AL-FAATIH'A - 6)
Tuongoe njia iliyo nyooka,
صِرَاطَ الَّذِينَ أَنْعَمْتَ عَلَيْهِمْ غَيْرِ الْمَغْضُوبِ عَلَيْهِمْ وَلَا الضَّالِّينَ
(AL-FAATIH'A - 7)
Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.

aliyetamka hayo maneno ni nani?
 
Tafuta hela wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…