Bodhichitta
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 315
- 762
Ata mm nimeshangaa tcra waangalie hapa
Huelewi imani kiongozi, binafsi huaga sishadadii sana mambo hayaa.YESU lazima ajadiliwe. Yeye ni mwokozi wa ulimwengu. Hata Mohamed anamtumaini yeye.
Na Siku za mwisho injili itahuburiwa Dunia kote hii ni pamoja na misikitini.
Naangalia tu mim na imani yangu basi.
Maana unaweza Kuta mtu kashadadia haya lakin mwisho wasiku imani yake na matendo yake ni ya hovyo saana.
Mijadala ipo na inafanyika Kila mahala sema wengi mnapandikizwa imani ambayo hamuwez kuzibeba.
Angalia na sikiliza kama Kuna zuri waweza chukua Kam hamn Baki na uliyonayo.