Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Anafanya mdahalo dhidi ya nani? Wangetangaza anafanya mdharo wa Yesu VS Muhammad labda against @Cocastica au agains fulani. Huo ndio mdahalo na sio kuja yeye na kuanza kueleza kuhusu mada tajwa akiwa peke yake. Hapo wangesema ni muhadhara wa kiislam na sio kingine.
Sure
 
Huo mdahalo naona unawahusu Wayahudi na Waarabu wanaowajua vizuri hao watu wao.
Kumsemea mtu wa kabila lingine wakati wenye kabila hilo wapo ni huo mdahalo kukosa mantiki.

Hapo waitwe Waarabu wanaomjua vizuri Muhammadi na Wayahudi wanao mjua ndugu yao Yesu ndio wajadiliane kuhusu hao watu wao walivyokuwa.
Matumizi mabaya ya muda
 
KUna kampuni niliwahi kufanya kazi kama dereva wa lori.........
Wengi walijifanya waislamu ii maisha yaende......kuna jamaa (hamood) haipiti siku yuko bize kuwatamka wakristo....kwamba wanaenda chooni bila maji....kwamba ukristo uliletwa na wazungu...kwamba dini yao ni ya kweli...kwamba waislamu wanaonewa,,,kwamba kuruani inasema wakristo wote wanatakiwa wauawe,,,,,,kwamba..Paulo kwenye Agano jipya kajivika madaraka..kajipa utume alafu Yesu akampa UUngu.....Kwamba hakuna kumpa "mkirisito"(kwa matamshi yake) Lori wakati ndugu zake waislamu wako kijiweni...siku hiyo natoka safari naingia yard nimevaa kibaraghashea na kanzu yangu namuona ustaadh anajongelea kwenye gari....kabla hajanipa salamu nikajua tu hapa nishapigwa jungu....akasema wewe shehee...kumbe ni mkirisito wewe...nikamwambia ndio....akasema njoo ofisini......
Ikawa ndio mwisho wa kufanya kazi?
 
Huo ni muhadhara sio mdahalo.
Tofauti mdahalo na muhadhara.
 
Kwa kiarabu, lugha ya peponi. Mungu hajui kiswahili.
Lugha ni njia mojawapo ya kuwaunganisha watu , ndomna Tanzania sote tumechaguliwa kiswahili kama lugha yetu mama.

Sawa na kiaarabu ni lugha ilochaguliwa kuwaunganisha waislamu duniani kote, fikiria Kila nchi ingeletewa Qur'an kwa lugha Yao umoja na kujuana Duniani ungetoka wapi!??. Kama ambazo Injili ililetwa kwa kiibreania halafu watu wakatafsiri kiswahili.

Muislamu popote aendapo Duniani anaweza kufanya Ibada zake na wenzie bila shida kwaajili ya kuwa na lugha ya asili enzi na enzi, hata akienda china Muislamu anafanya Ibada vizuri tu.
 
Miezi michache iliyopita kumekuwa na mikwaju mizito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala lankutumia lugha katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Hivyo siyo dini bali ni utaratibu jumla wa maisha wa tamaduni za wengine.
Mimi ni mkristo lakini nawasifu sana waislamu kwa kuendelea kutumia lugha mama ya kitabu chao. Ukriso umeharibika na kuwa dini ya kuchelesha kutokana na kutafsiri maandiko kwemnda lugha nyingine. Kila tafsiri inaendana na theological alignment ya anayetafsiri. Kama yeye anaamini Mungu ana nafsi tatu au ni mmoja tu, au lama anaamini kuna unyakuo au la basi kwenye kutafsiri atajikita huko. Na wengine hata wameongeza maneno yasiyokuwepo kwenye nakala halisi za maandiko. Congolese kwenu waislamu dumisheni lugha mama ya Quran. Wakristo sasa tuna maelfu ya madhehebu kwa upumbavu wa kutafsiri na kila dhehebu linasema lenyewe ndio la kweli!!!
 
Mimi ni mkristo lakini nawasifu sana waislamu kwa kuendelea kutumia lugha mama ya kitabu chao. Ukriso umeharibika na kuwa dini ya kuchelesha kutokana na kutafsiri maandiko kwemnda lugha nyingine. Kila tafsiri inaendana na theological alignment ya anayetafsiri. Kama yeye anaamini Mungu ana nafsi tatu au ni mmoja tu, au lama anaamini kuna unyakuo au la basi kwenye kutafsiri atajikita huko. Na wengine hata wameongeza maneno yasiyokuwepo kwenye nakala halisi za maandiko. Congolese kwenu waislamu dumisheni lugha mama ya Quran. Wakristo sasa tuna maelfu ya madhehebu kwa upumbavu wa kutafsiri na kila dhehebu linasema lenyewe ndio la kweli!!!
Húna unalo lijua na ulioaswa kukaa kimya.
Qurani za Kiswahili zipo na za lugha nyingine.
Uislamu pia una madhehebu kibao.
unajua maana ya Sunni na Shia?
Ahaddiya, Ismailia nk

Ulitaka Wakristo wote tuwe dhehebu la Roma?
Wakati mwingine ni bora kunyamaza ili kutunza heshima yako ya umbumbumbu.

Hakuna Mkristo mjinga kama wewe.
 
Happy Christmas

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea


View: https://youtu.be/pMECi3OLac0
 
Atakaye kuwepo aniulizie swali moja tu kwenye Qurani.

Ni nani anayeongea katika Surat Faatiha ?

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ
(AL-FAATIH'A - 1)
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
الْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ
(AL-FAATIH'A - 2)
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;
الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ
(AL-FAATIH'A - 3)
Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;
مَالِكِ يَوْمِ الدِّينِ
(AL-FAATIH'A - 4)
Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.
إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ
(AL-FAATIH'A - 5)
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
اهْدِنَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيم
(AL-FAATIH'A - 6)
Tuongoe njia iliyo nyooka,
صِرَاطَ الَّذِينَ أَنْعَمْتَ عَلَيْهِمْ غَيْرِ الْمَغْضُوبِ عَلَيْهِمْ وَلَا الضَّالِّينَ
(AL-FAATIH'A - 7)
Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.

aliyetamka hayo maneno ni nani?

aliyetamka hayo ni Allah

Chapter (15) sūrat l-ḥij'r (The Rocky Tract)​





Sahih International: And We have certainly given you, [O Muhammad], seven of the often repeated [verses] and the great Qur'an.
 
Sisi tukaze macho kufika Mbinguni kwa kuonesha UPENDO, ukarimu , upole ,kujali na kutokubagua, hivyo ndivyo tutakavyomuhubiri kristo,hata bila kusema watatusikia,walio bahatika neema ya utukufu wataongoka, siyo kwa kisu,upanga Wala mabomu,ila kwa kudhihirisha UPENDO,


jina Yahweh lihimidiwe wapendwa

Kristo yupi ?? kama ni yesu huyo hakutumwa kwako wewe na mimi
 
Miezi michache iliyopita kumekuwa na mikwaju mizito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala lankutumia lugha katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Hivyo siyo dini bali ni utaratibu jumla wa maisha wa tamaduni za wengine.

kwani kwa mujibu wa biblia watu walianza kuongea lugha ipi na wapi ??
 
Back
Top Bottom