Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
mimi hapa niliwahi kusaidiwa na ITkwani hao Customer Care si ndio wanaweza kuwa HRs au ITs wenyewe? Mimi nataka ushuhuda hapa wa mtu aliyesaidiwa na HR au IT, ni vimeo na wana viburi balaa.
Huu mfumo hauna msaada kwa mtumishi kwenye mambo nyeti mengi.
Umejaa ukiritimba uleule wa awali. Nasikia ukitaka uhamisho lazima uwasiliane na mkuu wako wa idara pamoja na viongozi wengine wa mkoa kama katibu tawala ili waweze ku-approve maombi yako ndo taarifa ziende TAMISEMI kwa ajili ya uidhinishaji wa mwisho wa maombi.
Mfumo umeongeza usumbufu uleule tuliokuwa tunaulalamikia. Ila ninasikia kwenye suala la mikopo ya benki kwa watumishi kupitia e-loan wako faster ukitumia mfumo kuliko kujaza form.
Mkuu samahani, unamaanisha nini unaposema wilaya zinatofautiana? Kuna halmashauri ina idara au muundo tofauti na halmashauri nyengine?Shida ni kila Wilaya ina HR wake na IT Wake **** maswala ambayo kila wilaya inayo ni tofauti na wilaya zingine..
Kwa mfano ni Vigumu kwa Afisa Utumishi wa Tamisemi ni Vigumu kumjua Jackson Abdalla alieajiriwa Tunduma na Jackson abdallah alieajriwa Lushoto..
Ndo maana Kila mtumishi Customer care yake ataipata katika halmashauri yake kuepuka mkanganyiko...
Yes ni kweli kabisa wapo waliosaidiwa na Watu wa TEHAMA na Ma HRs na wapo ambao wanaona kuwa watu hao wako humble na wapo wanaoona hawafanyi kazi..
Ubovu na ubora unategemea na halmashauri
.
Jambo gani utumishi waliwahi kufanikiwa zaidi ya kuinua inua mabega na kuweka tai zao sawaSioni sababu na nashangaa kwanini UTUMISHI wamekimbilia kutumia ESS na huku ukweli haufanyi kazi, unaingia Online wanakwambia wanashidnwa ku-retrieve taarifa zako, unaomba uhamisho, unajaza kila taarifa then unakuta hakuna kiytu chochote na hakuna mtu wa kukusadiai.
Naupenda sana Mfumo wa NEST (National E-procurement System) wana kitengo cha msaada na mnafanya wote online na mnapata suluhu mara moja, yaani UTUMISHI wanashindwa hata na Customer care wa TANESCO? Mfumo gani ambao hauna msaada? huu ni mwanya wa kukaribisha rushwa na mambo mengine. Mjipange au mtoke humo ofisini. na mnavyojiona Miungu watu sasa.
Ila kweli kabisa ujueJambo gani utumishi waliwahi kufanikiwa zaidi ya kuinua inua mabega na kuweka tai zao sawa
Nadhani hili Lina ukweliWanasaidia ikiwa unawapita kiwango cha mshahara, au unao ushawishi wa kubadilisha mapato yao, au kuna personal relationship, au yeye ana shida flani kwako, au kwa kuwapa hela ya soda, or something of that kind.
Umeweka vizuri sanaMkuu samahani, unamaanisha nini unaposema wilaya zinatofautiana? Kuna halmashauri ina idara au muundo tofauti na halmashauri nyengine?
Kila mtumishi ana namba zake tofauti na mtumishi mwengine zinazomtambulisha, ndio maana ya kuwa NIDA na check number.
Hayo ya kumjua mtu personally hayahusiani na uhamisho, ndio mianya ya rushwa na upendeleo.
Inaumiza Sana Sana, wakiendelea na huu ujinga itabidi nimuachishe KAZI, wanangu hawawezi kuteseka kuishi mbali na Mama yao! Huu ni ushenzi na ushambaKwenye mambo ya kumkandamiza mtumishi wako fasta ila kwenye masuala ya kumsaidia mtumishi mfumo unamkandamiza zaidi inasikitisha sana
Leo nimemtuma aende kwa hao IT, Nitawapa mrejesho hapa hapa
Mkuu Mahotera habari,Mkuu samahani, unamaanisha nini unaposema wilaya zinatofautiana? Kuna halmashauri ina idara au muundo tofauti na halmashauri nyengine?
Kila mtumishi ana namba zake tofauti na mtumishi mwengine zinazomtambulisha, ndio maana ya kuwa NIDA na check number.
Hayo ya kumjua mtu personally hayahusiani na uhamisho, ndio mianya ya rushwa na upendeleo.
🤣🤣Huo ni uzembe wa afisa utumishi wa wizara,mie kama afisa hayakuhusu,manake taarifa tulishamtumia toka mwezi Dec 2023Duh, Nyie mko nyuma sana na wakati.
Lakini ilimradi salary slips zinasoma haina shida
Asante kwa majibu, sasa kama mambo yako hivi, huu mfumo una maana gani? Waache tu mambo yafanyike locally, wamewaongezea matatizo wafanyakazi wenye matatizo badala ya kuwasaidia, maana sasa uende kwenye mfumo halafu ufanye yote yale ya awali.Mkuu Mahotera habari,
Naba nikukumbushe kuwa katika Sheria kuna Sheria kuu na pia kuna By laws..
Sheria kuu Hutumika Nchi nzima ila By laws hutumika Katika eneo fulani na Kila halmashauri ina By laws Zake ambazo hutungwa na Baraza la Madiwani..
Kwahyo kulingana na Sheria Halmashauri hazilingani kwa Sheria na Taratibu mchi nzima..japo zimaweza kuwa.na mfanano wa kimadaraka..
Kuhusu Mtumishi na Taarifa zake kama nilivyosema sema awali..
Uhamisho una Vigezo vyake na masharti yake..
Anayejua umetimiza vigezo vyote ni HR wako na Mwajiri wako huko Halmashauri..
Kwa mfano anayejua Uko shule kwa sasa ni Mwajiri wako (Na ndo unayesaini naye mkataba wa kutokuhama huwapo shuleni)..
Anayejua kuwa Unashida ya kinidhamu na upo kwenyr Probation ya Kinidhamu ni wilaya yako na Si tamisemi hivyo ni vyema Kutoku-centralise hii huduma ili wale wanaostahili waipate na wale wasio stahili wasiipate..
mbona tunajifanya kama hatujui Lazma supervisors wako wakujue na hata mwajiri wako ajue information zako ajiridhishe kweli una vigezo...
Nafikiri nimekujibu kama una swali la nyongeza karibu
Umewahi kusikia Kitu kinaitwa Local Public?Asante kwa majibu, sasa kama mambo yako hivi, huu mfumo una maana gani? Waache tu mambo yafanyike locally, wamewaongezea matatizo wafanyakazi wenye matatizo badala ya kuwasaidia, maana sasa uende kwenye mfumo halafu ufanye yote yale ya awali.
Wakati huo huo mfumo haukusaidii kukuenesha wapi kuna fursa ya kuhamia kwa kada yako, hauna sehemu watumishi wanaweza kuwasiliana, haumuwezeshi mtumishi hata kuweka namba za mawasiliano yake...
Kuhusu taarifa za mtumishi ambazo HR anazijua kama suspension, probation, au kuwepo shuleni, kwanini mfumo usimuwezeshe HR ku-update status hizo za mtumishi, nini maana ya mfumo unaoshidwa kuweka taarifa muhimu kama hizi kwenye uhamisho?
Mfumo umewekwa ili kuzuia watu wasiwe wanahama. Au kama ikitokea wanahama isiwe simple, matokeo yake wakate tamaa waendelee kutumika na halmashauri zao.Tangu mfumo uanze kuna mtumishi yeyote aliyefanikiwa kupata uhamisho wa let's say kutoka mkoa A kwenda mkoa B baada ya kuomba uhamisho huo kupitia mfumo?
Nimecheka Sana Sana, ukute jamaa labda ndio lengo lao, ukosee ujikute mfumo unakuletea Meseji " Ombi lako la kuacha KAZI ndani ya saa 24 limefanikiwa"Kuweni waangalifu sana ni hiyo mifumo ya IT.
Unaweza shituka unaletewa barua ya Kuachishwa kazi bila kujua.
Unabonyeza bonyeza bila tahadhari utajikuta umeomba kuacha kazi masaa 24.
Kuna watu bila kubonyeza bonyeza kwenye mifumo ya Serikali hawaridhiki kabisa.