Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #41
Naam SheikhHuyu ni mtumish wa UMMa amekuja na taarfa hizi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam SheikhHuyu ni mtumish wa UMMa amekuja na taarfa hizi hapa
Mimi pitisheni Tu Maombi ya Mke wangu, hizi story za Ajira za Serikali nilizikimbia 20years ago. Naomba mnisaidie hata kwa pesa ilimradi Tu ahamishiwe huku kwa Watoto wake. Huu ni unyanyasaji mkubwa sanaKuna kosa lolote hapo niulize nitakujibu
Mkuu Fatilia kwa Afisa utumishi wake..Mimi pitisheni Tu Maombi ya Mke wangu, hizi story za Ajira za Serikali nilizikimbia 20years ago. Naomba mnisaidie hata kwa pesa ilimradi Tu ahamishiwe huku kwa Watoto wake. Huu ni unyanyasaji mkubwa sana
Upo huru kusema siujui. Ila nimejaza, status inasoma supervisor, supervisor "anadai" yeye mwenyewe mfumo haujui.Umewahi kusikia Kitu kinaitwa Local Public?
Au Public but Locally?
Ndo mfumo huu unavyofanya kazi..
VItu vyote vimewekwa Public but kwa manufaa yanayofanyika local na hata maelezo yake yako clear kabisa.. Nitayaweka..baadae..
Kuhusu Sehemu ya kuweka Namba sio kweli (Nahisi mfumo huujui)..Kuhusu wanaobadilishana kubadilishana namba kwenhe mfumo ipo kuna namba yako na hata namba ya mwingine kuna sehemu ya Transfer incoming na outgoing utaona wanaotaka kuja Sehemu ulipo na namba zao ukiridhishwa unaweza kuwacontact na mkapanga kubadilishana..
Upitie mfumo ndugu utauelewa..
Na hii ndo process nzma ya uhamisho..Mkuu View attachment 2883151
Kuna kosa lolote hapo niulize nitakujibu
Supervisor una ruhusa kumshitaki Tamisemi kama Anasema haujui mfumo hakuna Mtu ambaye haujui mfumo na hajafundishwa mfumo..Upo huru kusema siujui. Ila nimejaza, status inasoma supervisor, supervisor "anadai" yeye mwenyewe mfumo haujui.
Full kukwama na hakuna kitu naweza kumfanya.
Nimewasilisha documents Baba mzazi ana cancer, ana attend clinic Ocean road, mm nipo peripheral kabisa mpakani.
Nitafunga safari rasmi kwa ajili ya hilo ruMkuu Fatilia kwa Afisa utumishi wake..
Na ikibidi nenda kwa Ded wake wataona ni swala lilio serious so watafamya jitihada za kukuhamisha..
Na kama watakuwa nado wanazingua nenda kwa RAS ndo Kiongozi wa watumishi Mkoa..so ombi lako litatatuliwa
Ajira za Serikali ni kuumizana Tu, wanangu wanalazimika kulellewa na House girl wakati Mama yao yupo, si ushenzi huu?! Nitafunga safari nikawafurahishe, wananifahamu vizuri sana.Upo huru kusema siujui. Ila nimejaza, status inasoma supervisor, supervisor "anadai" yeye mwenyewe mfumo haujui.
Full kukwama na hakuna kitu naweza kumfanya.
Nimewasilisha documents Baba mzazi ana cancer, ana attend clinic Ocean road, mm nipo peripheral kabisa mpakani.
Kama ndivyo basi huu ni uonevu na ufidhuli mkubwa sana kwa watumishi wa halmashauri/serikali za mitaa.Mfumo umewekwa ili kuzuia watu wasiwe wanahama. Au kama ikitokea wanahama isiwe simple, matokeo yake wakate tamaa waendelee kutumika na halmashauri zao.
Mfumo ni wa Utumishi..Kama ndivyo basi huu ni uonevu na ufidhuli mkubwa sana kwa watumishi wa halmashauri/serikali za mitaa.
Ni kweli. Ila halmashari/serikali za mitaa ndiyo zina watumishi wengi zaidi na ndipo wengi wanahitaji kupahama kutokana na karaha za ovyo sana huko.Mfumo ni wa Utumishi..
Maana yake ni kwa watumishi wote sio Halmashauri tu
100% SureNi kweli. Ila halmashari/serikali za mitaa ndiyo zina watumishi wengi zaidi na ndipo wengi wanahitaji kupahama kutokana na karaha za ovyo sana huko.
Hapo ni kizungumkutiTangu mfumo uanze kuna mtumishi yeyote aliyefanikiwa kupata uhamisho wa let's say kutoka mkoa A kwenda mkoa B baada ya kuomba uhamisho huo kupitia mfumo?
Walidai itakuwa inachukua mda mfupi uhamisho kukamilika,sasa Bora ule wa makaratasiSasa kama mfumo umeshindwa kurahisisha uhamisho si warejeshe tu ule utaratibu wa kuandika mabarua uliozoleka kwa watumishi japo nao una mapungufu mengi?
Ww peleka Kwa makaratasi mbona wanapokea piaWalidai itakuwa inachukua mda mfupi uhamisho kukamilika,sasa Bora ule wa makaratasi
sWw peleka Kwa makaratasi mbona wanapokea pia
Wanadai,maombi yote kwny mfumo,na sidhani kama Kuna mtu ashahama kwa kupitia mfumo huu mpyaMakaratas hayapokelewi
s
Hakuna kitu NduguWanadai,maombi yote kwny mfumo,na sidhani kama Kuna mtu ashahama kwa kupitia mfumo huu mpya
Kote kote .... Mfumo wa hovyo sana ..... Nna zaidi ya miezi mitatu kila taarifa zangu wamezikosea wameniandikia cheo sio changu ...ukienda mara data cleaning mara nini..haya ... Majukumu hayashuki ukiwafuata Bado hata wao hawaelewi ...halafu wanaleta habari za kiwaki .... Ooh mwezi huu kama taarifa zako hazijakaa sawa haupati mshahara shenzi kabisa....Hakuna. Mfumo umekaa kimagumashi (upande wa uhamisho)
Wao ndio hawapaswi kupata mshahara,make mfumo wameuanzisha bila kujipanga kisawasawa,make una kasoro nyingiKote kote .... Mfumo wa hovyo sana ..... Nna zaidi ya miezi mitatu kila taarifa zangu wamezikosea wameniandikia cheo sio changu ...ukienda mara data cleaning mara nini..haya ... Majukumu hayashuki ukiwafuata Bado hata wao hawaelewi ...halafu wanaleta habari za kiwaki .... Ooh mwezi huu kama taarifa zako hazijakaa sawa haupati mshahara shenzi kabisa....