Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Nadhani kuliko kulalamika ungeweza kuweka mapungufu unayokutana nayo kwenye huu uzi najua wataalamu wa huo mfumo na serikali kwa ujumla wanapitia huu uzi ili kuweza kuwasaidia watu wenye changamoto. Kuendelea kuilalamikia serikali bila kusema una changamoto zipi utaendelea kuteseka.Nilikuwa ninamjibu huyo aliyesema kuwa watu wote wamefundishwa kutumia huo mfumo kitu ambacho siyo kweli. Afterall wengine hata account za Facebook wala Instagram hatuna na hatutumii hiyo mitandao. Mfumo ufanyiwe marekebisho una mapungufu mengi.
Hizo cases zipo nyingi tu, sio watu wote ni watundu wa teknolojia. Waelekezeni watu na sio kutoa vitisho na kuasume kila unachojua wewe basi kila mtu anajua.Watumishi wa serikali wengi niliowasikiliza ni uzembe tu na uvivu wa kujifunza hakuna jambo lolote gumu kwenye huu mfumo wa ess. Imagine mtu analalamika hana email na hawezi kujiunga na email. Huyo ni msomi na anakesha kwenye magrupu ya WhatsApp
Mpaka sasa so far sijajua huu mfumo ni kwa faida ya nani. Maana sijaona kilichopungua zaidi ya kuongezeka. Na kwani mfumo upo kwaajili ya uhamisho tu? Mie sifuatilii uhamisho hivyo nipe bando.Kwani matumizi ya huo mfumo ni kwa faida ya nani? Hela ya nauli uliyokua unalipa kufuatilia uhamisho TAMISEMI na sasa unaweza ku browse kwenye computer au simu yako si uweke bando?
Wanajiona miungu watukwani hao Customer Care si ndio wanaweza kuwa HRs au ITs wenyewe? Mimi nataka ushuhuda hapa wa mtu aliyesaidiwa na HR au IT, ni vimeo na wana viburi balaa.
Mzeee Kuna watumishi wako uvinza huko sijui Tanganyika ..... . mtandao Hadi kupanda milimani mvua zikinyesha hakuendeki maduka ya kutafuta wamejaribu kuwafikiria watu wa chakaaaAsante sana Elli Umeeleza vizuri sana..
Hata hao masupervisor wanaosemwa hawajui mfumo Cha ajabu wana mifumo lukuki wanaitumia kabla ya Mfumo huo Kuja Upande wa Elimu Kuna ffars, PlanRep ,Na hata Ule wa Wanafunzi..
Upande wa Afya na idara zingine kuna mifumo Vile vile GotHomis, Ffars ,Dhis2, na Mingine mingi...
Yote hiyo hamuitumii?
Sasa kwnini wanafikiria kuwa kila kitu lazma ufunfishwe wakati unakijua?
Wewe unajua Kusoma Ubaoni unataka tena Ufundishwe Kusoma kutumia kitabu?
Hebu tujifunze kuwa Nashkrani..
Ndo maana nimesema ikiwa unaona Weww ni supervisor na hautaki kufanya kazi yako,Au wewe ni mtumishi hautaki kufanya kazi yako utaona kitakachokutokea..
Na sasa hivi taarifa Za PEPMIS Zinatakiwa zijazwe kila siku sasa zembeeni kujaza tena mseme.hamjafundishwa..
Mtu anatumia Simu yake ana Bando la kuingia Whatsapp kuingia Jamiiforum na kujibu email ila eti hana Bando la kuingia Kwenye mfumo..
"Usiulize Serikali itakufanyia nini wewe ,Bali jiulize Utaifanyia nini Serikali"...
CC: Kisesetusese Atoto
Zamani ulikua ukitaka mkopo mpaka ukamuone afisa mikopo wa benki na ukamtie posho na hela utapata baada ya wiki siku hizi unabonyeza kwenye mfumo tuu ndani ya saa 24 hela imeingia. bado hujaona faida ya mifumo ndugu mtumishi?Mpaka sasa so far sijajua huu mfumo ni kwa faida ya nani. Maana sijaona kilichopungua zaidi ya kuongezeka. Na kwani mfumo upo kwaajili ya uhamisho tu? Mie sifuatilii uhamisho hivyo nipe bando.
Tena hao wa uhamisho ndio wa kuwahurumia, wanajiuliza na kujijibu wenyewe maana hawapewi majibu ya kueleweka na huko mfumoni ni tafrani!!
Nimecheka Sana Sana kama bwege Wallah, dah! Serikali mbovu kabisa hii ina encourage uzinzi
Weeeh wapi huko kulikuwa na huo urasimu!! Sijawahi experience hicho kitu.Zamani ulikua ukitaka mkopo mpaka ukamuone afisa mikopo wa benki na ukamtie posho na hela utapata baada ya wiki siku hizi unabonyeza kwenye mfumo tuu ndani ya saa 24 hela imeingia. bado hujaona faida ya mifumo ndugu mtumishi?
Acha uwongo , Kwan watu wa TAMISEMI hawawez kujua taarifa zako kupitia check number yako au NIDA yako ? Wakiangalia wanajua huyu NI mtumish halmashauri fulanShida ni kila Wilaya ina HR wake na IT Wake **** maswala ambayo kila wilaya inayo ni tofauti na wilaya zingine..
Kwa mfano ni Vigumu kwa Afisa Utumishi wa Tamisemi ni Vigumu kumjua Jackson Abdalla alieajiriwa Tunduma na Jackson abdallah alieajriwa Lushoto..
Ndo maana Kila mtumishi Customer care yake ataipata katika halmashauri yake kuepuka mkanganyiko...
Yes ni kweli kabisa wapo waliosaidiwa na Watu wa TEHAMA na Ma HRs na wapo ambao wanaona kuwa watu hao wako humble na wapo wanaoona hawafanyi kazi..
Ubovu na ubora unategemea na halmashauri
.
Yani mkopo mnatoa mpaka Rushwa[emoji3][emoji1787][emoji1787] bongo sijui mnafeli wapi ,Zamani ulikua ukitaka mkopo mpaka ukamuone afisa mikopo wa benki na ukamtie posho na hela utapata baada ya wiki siku hizi unabonyeza kwenye mfumo tuu ndani ya saa 24 hela imeingia. bado hujaona faida ya mifumo ndugu mtumishi?
Wanajua Vyote ulivyosema ila kuna Baadhibya Taarifa wanakosa kama Taarifa za utendaji kazi zako kituo ulichopp kwa sasa maendeleo yako kituoni na kinidhamu..hata kwa wale watumishi ambao wako Masomoni pia..na taarifa zote ambazo zipo chini ya Maamuzi ya Baraza la madiwani na halmashauri husika..Acha uwongo , Kwan watu wa TAMISEMI hawawez kujua taarifa zako kupitia check number yako au NIDA yako ? Wakiangalia wanajua huyu NI mtumish halmashauri fulan
Hahahaha kuna Shule pale Wilaya ya Tanganyika iko kati kati ya PoriMzeee Kuna watumishi wako uvinza huko sijui Tanganyika ..... . mtandao Hadi kupanda milimani mvua zikinyesha hakuendeki maduka ya kutafuta wamejaribu kuwafikiria watu wa chakaaa
Tanzania hii hii nchi kubwa hii unadhani watumishi waliopo maeneo ya vijijini kabisa huko pembezoni maisha yao yalikuaje.kwanza mpaka afike benki ni km 100 kwahiyo atapoteza siku 3 au 4 nje ya kituo cha kazi kushughulikia mkopo na hapo lazima amwachie loan officer wa benki chochote. Serikali inajitajidi sana kuhakikisha huduma zinakuwa rahisi kupitia hii mifumo.Weeeh wapi huko kulikuwa na huo urasimu!! Sijawahi experience hicho kitu.
Hongera ila wenzako waliopitia hii changamoto hapo zamani wanajua namaanisha nini.Yani mkopo mnatoa mpaka Rushwa[emoji3][emoji1787][emoji1787] bongo sijui mnafeli wapi ,
Mimi Nina mikopo ya utumish sijawah kuwaza et nimpe Rushwa Afisa mikopo
Nina mikopo ya biashara ambayo haihusiani na utumish , niliwauliza nahitaji niwe na nini ili nipate mkopo wa biashara nikapeleka wanavyohitaji nikawaacha wajiridhishe wenyewe baada ya wiki nikaona mzgo huo umeingia,
Afisa mikopo akanipigia Tu simu kuuliza kama nimeona kibunda nikamwambia nimeona , sijawah kuwaza kutoa Rushwa ,
Kutoa Rushwa NI ishara kwamba huna sifa za kukopesheka na uhakika wa kulipa deni lao unatia mashaka ,
Mikopo ndo inaleta Faida kwa bank , wale maafisa mikopo wanapewa tasks kuhakikisha watu wanakopa kwa wingi
Sasa hao wa pembezoni huko ambako hata umeme hamna wala mtandao ndio mmewasaidia nini sasa!!Tanzania hii hii nchi kubwa hii unadhani watumishi waliopo maeneo ya vijijini kabisa huko pembezoni maisha yao yalikuaje.kwanza mpaka afike benki ni km 100 kwahiyo atapoteza siku 3 au 4 nje ya kituo cha kazi kushughulikia mkopo na hapo lazima amwachie loan officer wa benki chochote. Serikali inajitajidi sana kuhakikisha huduma zinakuwa rahisi kupitia hii mifumo.
Waongo hao wanatafuta tu kichaka cha kujitetea. Hao maafisa mikopo wanavyobembeleza watu kuchukua mikopo ndio watake rushwa!!Yani mkopo mnatoa mpaka Rushwa[emoji3][emoji1787][emoji1787] bongo sijui mnafeli wapi ,
Mimi Nina mikopo ya utumish sijawah kuwaza et nimpe Rushwa Afisa mikopo
Nina mikopo ya biashara ambayo haihusiani na utumish , niliwauliza nahitaji niwe na nini ili nipate mkopo wa biashara nikapeleka wanavyohitaji nikawaacha wajiridhishe wenyewe baada ya wiki nikaona mzgo huo umeingia,
Afisa mikopo akanipigia Tu simu kuuliza kama nimeona kibunda nikamwambia nimeona , sijawah kuwaza kutoa Rushwa ,
Kutoa Rushwa NI ishara kwamba huna sifa za kukopesheka na uhakika wa kulipa deni lao unatia mashaka ,
Mikopo ndo inaleta Faida kwa bank , wale maafisa mikopo wanapewa tasks kuhakikisha watu wanakopa kwa wingi
Si mna huo mfumo wenu, why msiziweke?Wanajua Vyote ulivyosema ila kuna Baadhibya Taarifa wanakosa kama Taarifa za utendaji kazi zako kituo ulichopp kwa sasa maendeleo yako kituoni na kinidhamu..hata kwa wale watumishi ambao wako Masomoni pia..na taarifa zote ambazo zipo chini ya Maamuzi ya Baraza la madiwani na halmashauri husika..
Taarifa hizo hazipo TAmisemi ila zipo halmashauri kwako!
Umenielewa mkuu
Hiyo ilikua zamani.kwa sasa maeneo mengi nchini yana umeme na mawasiliano siyo tatizo watu wanaweza ku access mtandao.Sasa hao wa pembezoni huko ambako hata umeme hamna wala mtandao ndio mmewasaidia nini sasa!!