KERO Huu mfumo wa Employee Self Service wa Utumishi haufanyi kazi

KERO Huu mfumo wa Employee Self Service wa Utumishi haufanyi kazi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kwahyo kumbe ulikuwa huna PEPMIS
Sasa Tatizo liko wapi?
Bhasi anza kuitumia
Nilikuwa nimejisajili katika ESS...ambayo inabeba hiyo mifumo mingine lakini kwangu PEPMIS haikuwa inasoma .... Ukienda Kwa IT wanakwambia bosi wako, ukienda Kwa bosi anakwambia utumishi ..... Mradi hekaheka tu ..sio kesi ...Kwa kuwa Kwa Mimi natumia mifumo huu utakuwa wa nne..... So Sina hofu nao ila tu competitiveness ya wanaotusimamia ukipata changamoto nayo inakuwa changamoto kwao utatuzi unachukua muda sana.
 
Nilikuwa nimejisajili katika ESS...ambayo inabeba hiyo mifumo mingine lakini kwangu PEPMIS haikuwa inasoma .... Ukienda Kwa IT wanakwambia bosi wako, ukienda Kwa bosi anakwambia utumishi ..... Mradi hekaheka tu ..sio kesi ...Kwa kuwa Kwa Mimi natumia mifumo huu utakuwa wa nne..... So Sina hofu nao ila tu competitiveness ya wanaotusimamia ukipata changamoto nayo inakuwa changamoto kwao utatuzi unachukua muda sana.
Yeah ni kweli Kabisa maana TEHAMA wengi wana Tatizo sana..
Sana sana kwenye Mifumo wanataka Rushwa sana..
 
Nachukizwa na ujinga wa watanzania. Mimi siyo mtumishi wa umma lakini naelewa serikali inafanya kitu gani. Watu wavivu kujifunza mifumo mbona umeme zamani tulikua tunaenda kununua tanesco leo hii tunanunua kwa simu hamuoni mabadiliko? Stupid
Kwani huo wa kununua umeme umelalamikiwa, tumia akili hata kidogo...
 
Mkuu Huu utani kabisa!
Kila mtu ana JD (Job Description) alizoajiriwa nazo,
Ulipewa Na Mkurugenzi wako na zipo kwenye Faili lako Zimesainiwa ..

Majukumu unayojaza ni Majukumu Sawia kama uliyokuwa unajaza Kwenye OPRAS kilichobadilika Unatakiwa kuyavunja Majukumu hayo kutoka kwenye Mwezi Hadi siku..

Ili kila siku ukitimiza Supervisor wako Athibitishe wewe kutimiza majukumu hayo..
Ili iwe vyepesi Kutrace Maksi zako kwa siku, kwa mwezi ,Kwa Robo na hata kwa Mwka wa Fedha..

Sio kitu kipya Kilikuwa kikifanywa kwenye OPRAS (Kama hardcopy) sasa kinafnywa PEMPMIS kama softcopy..
Sasa.kipi kinakushinda kuhusu Hilo?
OPRAS yenyewe ilikuwa ni magumashi tu na hili liPEPMIS lenu litafeli tu. Kama hakuna uwezesho wa kufanya hizo kazi zinazotakiwa kufanyika unajaza nini kwenye mfumo? Time will tell.
 
Mkuu Huu utani kabisa!
Kila mtu ana JD (Job Description) alizoajiriwa nazo,
Ulipewa Na Mkurugenzi wako na zipo kwenye Faili lako Zimesainiwa ..

Majukumu unayojaza ni Majukumu Sawia kama uliyokuwa unajaza Kwenye OPRAS kilichobadilika Unatakiwa kuyavunja Majukumu hayo kutoka kwenye Mwezi Hadi siku..

Ili kila siku ukitimiza Supervisor wako Athibitishe wewe kutimiza majukumu hayo..
Ili iwe vyepesi Kutrace Maksi zako kwa siku, kwa mwezi ,Kwa Robo na hata kwa Mwka wa Fedha..

Sio kitu kipya Kilikuwa kikifanywa kwenye OPRAS (Kama hardcopy) sasa kinafnywa PEMPMIS kama softcopy..
Sasa.kipi kinakushinda kuhusu Hilo?
Acha ubishi Kijana. Kama Mkuu wako hajakushushia majukumu yako ukifungua mfumo HUONI kitu!!!! Hakuna popote utakapojaza
 
Nachukizwa na ujinga wa watanzania. Mimi siyo mtumishi wa umma lakini naelewa serikali inafanya kitu gani. Watu wavivu kujifunza mifumo mbona umeme zamani tulikua tunaenda kununua tanesco leo hii tunanunua kwa simu hamuoni mabadiliko? Stupid
Basi ninakusamehe, kumbe ulikuwa unaleta ubishi tu kumbe wewe wala siyo mtumishi wa umma!!! Kwa hiyo muda wote unabisha na kutoa kejeli kumbe hata matatizo tunayoeleza humu huyajui!!!
 
Nachukizwa na ujinga wa watanzania. Mimi siyo mtumishi wa umma lakini naelewa serikali inafanya kitu gani. Watu wavivu kujifunza mifumo mbona umeme zamani tulikua tunaenda kununua tanesco leo hii tunanunua kwa simu hamuoni mabadiliko? Stupid
Wewe ndiye stupid kwa sababu unabisha wakati hata siyo mtumishi wa umma na hufahamu changamoto tunazopambana nazo kwenye huo mfumo.
 
Acha ubishi Kijana. Kama Mkuu wako hajakushushia majukumu yako ukifungua mfumo HUONI kitu!!!! Hakuna popote utakapojaza
Samahani Mkuu!
Naujua Mfumo Tangu Ukiwa kwenye Demo Version.. na Vizuri kwa sasa upo katika Live version (Shukurni kwa hilo) imagharimu muda wa Watu kulifanya hilo...

Kwahyo ninachokisema nakijua Vizuri sana..

Kama hukuelewa kitu niambie nikueleweshe..
Na kingine Shukrani kwa Kuniita kijana Angalau nimejisikia Vizuri maana wengi Hawaniiti Hivyo 😀😀

Kama unahitaji kueleweshwa kuhusu Mfumo Karibu Na uulize Chochote Majibu yapo hapa (Mifumo yoyote ya kiutumishi)
ASANTE
 
Samahani Mkuu!
Naujua Mfumo Tangu Ukiwa kwenye Demo Version.. na Vizuri kwa sasa upo katika Live version (Shukurni kwa hilo) imagharimu muda wa Watu kulifanya hilo...

Kwahyo ninachokisema nakijua Vizuri sana..

Kama hukuelewa kitu niambie nikueleweshe..
Na kingine Shukrani kwa Kuniita kijana Angalau nimejisikia Vizuri maana wengi Hawaniiti Hivyo [emoji3][emoji3]

Kama unahitaji kueleweshwa kuhusu Mfumo Karibu Na uulize Chochote Majibu yapo hapa (Mifumo yoyote ya kiutumishi)
ASANTE
Kuna aliyefanikiwa kuhama Kwa kubadilishana au kutokubadilishana kituo cha kazi Kwa kutumia huu mfumo??
 
Wewe ndiye stupid kwa sababu unabisha wakati hata siyo mtumishi wa umma na hufahamu changamoto tunazopambana nazo kwenye huo mfumo.
Mimi kutokua mtumishi wa serikali usidhani sielewi mambo yanayoendelea serikalini.mimi ni mdau mkubwa sana wa serikali.
 
Kuweni waangalifu sana ni hiyo mifumo ya IT.
Unaweza shituka unaletewa barua ya Kuachishwa kazi bila kujua.
Unabonyeza bonyeza bila tahadhari utajikuta umeomba kuacha kazi masaa 24.
Kuna watu bila kubonyeza bonyeza kwenye mifumo ya Serikali hawaridhiki kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseee
 
W
Huu mfumo hauna msaada kwa mtumishi kwenye mambo nyeti mengi.

Umejaa ukiritimba uleule wa awali. Nasikia ukitaka uhamisho lazima uwasiliane na mkuu wako wa idara pamoja na viongozi wengine wa mkoa kama katibu tawala ili waweze ku-approve maombi yako ndo taarifa ziende TAMISEMI kwa ajili ya uidhinishaji wa mwisho wa maombi.

Mfumo umeongeza usumbufu uleule tuliokuwa tunaulalamikia. Ila ninasikia kwenye suala la mikopo ya benki kwa watumishi kupitia e-loan wako faster ukitumia mfumo kuliko kujaza form.
wako fasta ila kwenye uhamisho ni tatizo sana
 
Wiki sasa sehemu ya transfer inasoma hivi hakika wamejua kutuumiza watumishi wa umma.
IMG_6306.jpg
 
Back
Top Bottom