Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jobless unaforce kula ubalozi?? Utafika huna shati. Wewe level zako ni nyota na mawinston tuNimestaajabu leo nimeenda dukani kwa Kimario hapa Lumo ananambia embassy moja ni 300 wakati me najua ni 250 tu. Nilikua na buku nimekula miguu, utumbo na vichwa vya kuku nikabaki na 250, naenda dukani nipate embassy naambiwa ni 300, imeniuma sana.
But standard have to be within your ability..Life is all about setting standards.
Lumo ni WApi mkuu?Umenikumbusha mbali kwa kimario Lumo kilikuwa kijiwe changu cha kupata bia mbili tatu. Mpe hai sana Kimario, mzee kileo, fetty, zena, na wengine wote.
Waambie mkaguzi anawapa hai nimemuona mtandaoni
Nimecheka mpaka baa nzima wameniangalia,winston sigara flan loko,halafu zinavutwa sana na maselamawinston tu
So why are yo complainingStandard has to be beyond your ability, so you shall struggle for it!
Huwa sivuti sigara, lakini hata ikitokea nikaanza kuvuta siwezi kuyatumia hayoNimecheka mpaka baa nzima wameniangalia,winston sigara flan loko,halafu zinavutwa sana na masela
Achana na sigara mkuuNimestaajabu leo nimeenda dukani kwa Kimario hapa Lumo ananambia embassy moja ni 300 wakati me najua ni 250 tu. Nilikua na buku nimekula miguu, utumbo na vichwa vya kuku nikabaki na 250, naenda dukani nipate embassy naambiwa ni 300, imeniuma sana.
Kwani sigara chakula? Acha!Nimestaajabu leo nimeenda dukani kwa Kimario hapa Lumo ananambia embassy moja ni 300 wakati me najua ni 250 tu. Nilikua na buku nimekula miguu, utumbo na vichwa vya kuku nikabaki na 250, naenda dukani nipate embassy naambiwa ni 300, imeniuma sana.