dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Na master sportsJobless unaforce kula ubalozi?? Utafika huna shati. Wewe level zako ni nyota na mawinston tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na master sportsJobless unaforce kula ubalozi?? Utafika huna shati. Wewe level zako ni nyota na mawinston tu
Kazi zipo ila ajira hakunaNimestaajabu leo nimeenda dukani kwa Kimario hapa Lumo ananambia embassy moja ni 300 wakati me najua ni 250 tu. Nilikua na buku nimekula miguu, utumbo na vichwa vya kuku nikabaki na 250, naenda dukani nipate embassy naambiwa ni 300, imeniuma sana.
Bangi ni asali mkuu au glucose mzee utapenda,me nikiingia bar huwa nakula weed na hakuna anaesanuka.Kuna siku nilichukua embassy double click nikaitoa tumbaku yote then nikajaza weed mule mpaka ikajaa nkaishindilia vizuri ika fit in, nkaiwasha nika click ile flavor ya berry, kitu kilikua bomba sana.
Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako.Nimestaajabu leo nimeenda dukani kwa Kimario hapa Lumo ananambia embassy moja ni 300 wakati me najua ni 250 tu. Nilikua na buku nimekula miguu, utumbo na vichwa vya kuku nikabaki na 250, naenda dukani nipate embassy naambiwa ni 300, imeniuma sana.
Karibu tena. Na nakutakia kila la kheri.Thank you for this free advice. Natakiwa kubadilika.
Habari kaka.Me nipo Yombo mkuu
Glucose unaiwekaje kwenye weed mzee niwe natumia hii njiaBangi ni asali mkuu au glucose mzee utapenda,me nikiingia bar huwa nakula weed na hakuna anaesanuka.