Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Ingekuwa 200 si ndio angedata kabisa huu uzi tungeukuta jukwaa la Mahusiano, Mapenzi na UrafikiYaani sh50 inakufanya unaandika uzi vijana mnapoelekea ni kubaya sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa 200 si ndio angedata kabisa huu uzi tungeukuta jukwaa la Mahusiano, Mapenzi na UrafikiYaani sh50 inakufanya unaandika uzi vijana mnapoelekea ni kubaya sana.
Tafuta sponsor akulee.nikivuta nasahau kama mimi ni jobless
me nipo buza huku ila uwezi sikia nalalamika kisa 50 au wew ni kula kulalaWasalimie hapo Oysterbay mkuu, sisi huku wasakatonge sh.50 means a lot kwetu
vitu vidogo hvyo unalalamika kama umepoteza milioniUsiidharau pesa mkuu.
Lumo ni WApi mkuu?
Ukivuta jua linawaka lazma uvue nguo halafu mshipa wa ngiri unavuta sana,unawasha sigara unakutana na gogo lipo ndani ya sigara.Sigara moja Mia mzee
Winston ni yale makapi wanayokusanya kwa miguu baada ya sigara nyingine kutengenezaUkivuta jua linawaka lazma uvue nguo halafu mshipa wa ngiri unavuta sana,unawasha sigara unakutana na gogo lipo ndani ya sigara.
Sigara gani ukijamba unanuka moshi wa sigara.Winston ni yale makapi wanayokusanya kwa miguu baada ya sigara nyingine kutengeneza
Mbona huko bariadi mchele nilinunua buku 1900 mkuu au huko mjini ndo Bei yake hip 4000Mchele umefika 4,000 nyie hakuna rangi tutaacha kuona, watu wako busy na kuuza bandari