Huu mfumuko wa bei unatuumiza zaidi sisi majobless.

Huu mfumuko wa bei unatuumiza zaidi sisi majobless.

DAH MAMA*E MAFEGI NI YA KIBOYA SIKU YA KWANA KULA TONI NILIENDA KUNYA KWANZA NIKAJUA KAWAIDA HEE! KUJA KUSANUA NKATEMANA NAZO
.
SHADA FOR LIFE
 
DAH MAMA*E MAFEGI NI YA KIBOYA SIKU YA KWANA KULA TONI NILIENDA KUNYA KWANZA NIKAJUA KAWAIDA HEE! KUJA KUSANUA NKATEMANA NAZO
.
SHADA FOR LIFE
hahahahahahaha!
 
Hata aliyeajiriwa anaumia,bidhaa zinapanda mishahara kupanda ni mwendo wa Kobe.Wanaofaidi hii nchi ni wale mishahara 2,000,000+
 
Lakini wenzangu na mie kama unasuburi nyongeza kuthibiti mfumko umeula wa chuya kwa uvivu wa kupembua
 
Yaani sh50 inakufanya unaandika uzi vijana mnapoelekea ni kubaya sana.
Wasalimie hapo Oysterbay mkuu, sisi huku wasakatonge sh.50 means a lot kwetu
 
Back
Top Bottom