Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana naz kabisanipo mbioni
Kuna jamaa aliishiwa akawa anawasha matakataka anavuta ule Moshi na maisha yaliendaNimestaajabu leo nimeenda dukani kwa Kimario hapa Lumo ananambia embassy moja ni 300 wakati me najua ni 250 tu. Nilikua na buku nimekula miguu, utumbo na vichwa vya kuku nikabaki na 250, naenda dukani nipate embassy naambiwa ni 300, imeniuma sana.
Ila zina bonge la jina......ukilisikia hilo jina unaweza kuogopa hata kuuliza beiNimecheka mpaka baa nzima wameniangalia,winston sigara flan loko,halafu zinavutwa sana na masela
Update your standardsThat's the struggle
Mkuu we ni kidume,kivuta embassy siyo kitu Cha mchezo mchezoNimestaajabu leo nimeenda dukani kwa Kimario hapa Lumo ananambia embassy moja ni 300 wakati me najua ni 250 tu. Nilikua na buku nimekula miguu, utumbo na vichwa vya kuku nikabaki na 250, naenda dukani nipate embassy naambiwa ni 300, imeniuma sana.
Mkuu njoo Tanganyika uupate Kwa 2000Mchele umefika 4,000 nyie hakuna rangi tutaacha kuona, watu wako busy na kuuza bandari
Ndo nashangaa Sana wakati nyie walimu mnavuta nyota lakini huyu jobless anavuta ubaloziMkuu we ni kidume,kivuta embassy siyo kitu Cha mchezo mchezo
Mbona umeshuka 2,000 au mzee unakula PishoriMchele umefika 4,000 nyie hakuna rangi tutaacha kuona, watu wako busy na kuuza bandari