MABUNGE YA CCM HAYAZIDI 500 lakini yamepitisha tozo za miamala zinazosumbua mamilioni ya Watanzania hivi sasa, wewe unatumia kiungo gani kufikiri?Mkuu utaniambia wakifanikiwa unikumbushe kwa hapo ni bet.
Kichwa cha chini.MABUNGE YA CCM HAYAZIDI 500 lakini yamepitisha tozo za miamala zinazosumbua mamilioni ya Watanzania hivi sasa, wewe unatumia kiungo gani kufikiri?
Ujamaa tuliujaribu, na mbinu hii ya sasa ikijaribiwa tutaona effect yake.Hizi mambo ziko kichwani field haziwezekani milele kama ujamaa wa nyerere[emoji706]
We huoni imejitoa udhamini wa ligi kuuKwasabu chadema wapo wachache hawatofanikiwa ,labda wananchi kwa ujumla bila kujali vyama ndio hiyo kitu itawezekana kumbuka walisusia voda mpaka sasa inadunda
Waulize Vodacom kwanini hawakutoa gawio mwaka jana kwa wanahisa wao watakupa majibu na sababu iliyosababisha wakapata hasara.Hayupo wa kufanya huo ujinga
Ndio nitawashawishi hivyo hivyo waache kutumia kupanda mabasi ya wakina Abood na wapande zuberi.Mtandao wa voda una gharama kubwa watu wanakimbilia kwenye unafuu sio kwa sababu watu wamesusa
Mtaani watu wanapambana na mambo yao, hawana habari na mambo ya kususia.
Inawezekana mkuu,kwa sababu watuamiaji wakubwa wa Sukari kwa mfano,ni watu waishio mijini na wamestaarabika,na wengi wao ni Wapinzani.Nipo Space ya Maria Sarungi ambapo baadhi ya makada wa CHADEMA na Wanaharakati wanajenga hoja juu ya kususia bidhaa na huduma mbalimbali ili kuikosesha serikali mapato.
Wanaanza na kutoa historia ya Boycotting ambapo kwa wakati fulani, watu wa Uingereza walikuwa hawapendezwi na biashara ya Utumwa. Ili kuukomesha, wakaacha kutumia Sukari ambayo ilikuwa ikitengenezwa na Watumwa. Na hivyo ikasabisha kiwanda kufungwa kwa sababu bidhaa hazitoki.
Wanasema kuwa, jamii ya Watanzania wakipunguza matumizi ya bidhaa na huduma kama vile unywaji wa Bia, kupunguza matumizi ya sukari, maji ya kunywa, kupunguza miamala isiyo ya lazima na vyakula katika hoteli zilizosajiliwa.
Wanaamini kuwa kupunguza huko matumizi ya huduma na bidhaa itasababisha serikali kukosa kiasi kikubwa cha mapato.
Na kukosa huko mapato itasababisha serikali ishindwe kujiendesha kwa sababu mapato yamepungua. Na bila shaka, kutafuta namna ya kukaa na wadau na kuzungumza nao ili kuweza kutatua yaliyomo.
Wanaamini kuwa, njia hii ya kususia bidhaa na huduma 'Boycotting' itakuwa na ufanisi kwa sababu hakuna polisi watakaokuja kuwalazimisha watu watumie.
Wanaona kuwa njia hii ni ya amani na hivyo itawalazimisha serikali kurudi katika Misingi ya Utawala bora na kuleta uchocheo wa Katiba mpya.
Je, CHADEMA watafanikiwa kwa njia hii?
CCM wengi mkuu wapo vijjini,na wengi wao ni wajinga jinga tuVuta picha na wa CCM wakifanya hivyo kwenu!
Wakati huo huo Yule binti Kigogo na Lisu wameshavuruganaHili halitafanikiwa Mkuu.
Labda niweke hili wazi! Chadema imeshapoteza mbinu/akili ya kupambana na CCM. MBOWE akili yake imesha staafu. Imma aombe watu wengine wamchoree mipango au atoke aruhusu akili nyengine iingie ifanye kazi. Kwa haya madrama mnayokwenda nayo yaani hamna kitu.
jiondoe ndani ya chunguHayupo wa kufanya huo ujinga
Hapana. Kwa sababu ajenda zao hazilengi kumuinua mtanzania kiuchumi, kidemokrasia, kijamii, kitamaduni, kidesturi, zitaje tu za hivi!Je, CHADEMA watafanikiwa kwa njia hii?
Ndoto za alinachaSubiri uone mamilioni ya raia wakubali kujinyima kununua huduma na vitu fulanifulani ili kuinyima serikali kodi, hapo ndo utajua mbinu ya economic boycott inafanya kazi au la!
Ndio mtapata tabu Sana na hoja zenu za sijui gas,sukari mara luku ,miamala haya mambo hayawahusu Vijijini,, serikali ikiwaambia tumewwka tozo watu wa mjini walipe Ili tuwajengee barabara, zahanati na maji au shule ni makofi kwa kwenda mbele .Inawezekana mkuu,kwa sababu watuamiaji wakubwa wa Sukari kwa mfano,ni watu waishio mijini na wamestaarabika,na wengi wao ni Wapinzani.
Nature ya wana CCM wengi ni umaskini wa kutupwa na ujinga, ambao wengi wao wapo vijjini na hata Chai hawaijui,wanachojua ni kunywa uji wa ukwaju au Chumvi.
Hivi huu ujinga huwa mnautoa wapi?Ujamaa tuliujaribu, na mbinu hii ya sasa ikijaribiwa tutaona effect yake.
Uchumi wa TZ unachangiwa zaidi na sekta ya huduma, Ikitokea watu hata 10000 wakapunguza spending zao hata siku mbili tu kwa mwezi, utaona shughuli yake!
Inawezekana mkuu,kwa sababu watuamiaji wakubwa wa Sukari kwa mfano,ni watu waishio mijini na wamestaarabika,na wengi wao ni Wapinzani.
Nature ya wana CCM wengi ni umaskini wa kutupwa na ujinga, ambao wengi wao wapo vijjini na hata Chai hawaijui,wanachojua ni kunywa uji wa ukwaju au Chumvi.
Duh! Kila lakheri kwenye ususaji.CCM wengi mkuu wapo vijjini,na wengi wao ni wajinga jinga tu