Huu Mkutano wa SADC Samia alitoa maoni gani tufahamishwe watanzania

..kikao kilikuwa cha Wakuu wa EAC na SADC.

..Mwenyekiti wa EAC ni Rais Ruto, na wa SADC ni Rais Mnangagwa.m

..Mama Abduli hakuwa na sauti katika kikao hicho.
Aidha umesahau au unajisahaulisha kuwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la SADC. Hivyo ana sauti kubwa na ya kutosha sana kwenye suala hili.
 
Bwashee ule mkutano ulikuwa laivu, siyo kusoma kwenye kioo na lugha ilikuwa ung`eng`e siyo kimakonde.
 
Aidha umesahau au unajisahaulisha kuwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la SADC. Hivyo ana sauti kubwa na ya kutosha sana kwenye suala hili.

..Ni Mwenyekiti dhaifu na muoga wa kamati ya ulinzi na usalama ya SADC.

..Nchi ya SADC inapovamiwa wanachama wenzake wanawajibika kuisaidia kijeshi kupambana na uvamizi huo.

..Mwaka 1998 wakati DRC ilipovamiwa Mzee Mugabe ambaye alikuwa Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya SADC alituma majeshi ya Zimbabwe, Angola, na Namibia, kwenda kuisaidia DRC.
 
PK na saa100 ni usiku na mchana
 

View: https://x.com/TanzaniaInsight/status/1888203035073184023?t=PuudRbuWBG4dZDthuySvaA&s=19
 
Msimamo wa EAC-SADC uliegemea maoni ya 🇹🇿 💯💯

View: https://x.com/TanzaniaYaMama/status/1888159665139155084?t=6m-U4bf8066FR8xbpH6PjA&s=19
 
Alisema mother dead father dead - we don’t want to see further killings in DRC- Ruto is co chair… hayo ndiyo niliyosiki huko Mtandaoni - jokes
 
..Ni maneno ya jumla-jumla tu, wakati mazingira yalimhitaji atoe kauli thabiti kama Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya SADC.
Haukuwa mkutano wake Bali wa EAC.

Atoe msimamo thabiti kwani Tanzania ndio Iko kwenye mgogoro au inampangia nani?

Atoe maagizo kwani anamuagiza RC au Waziri? Huna akili Wala hujui diplomasia
 
..kikao kilikuwa cha Wakuu wa EAC na SADC.

..Mwenyekiti wa EAC ni Rais Ruto, na wa SADC ni Rais Mnangagwa.m

..Mama Abduli hakuwa na sauti katika kikao hicho.
Mkuu wa EAC yeye kasema kusiwe na mipaka East Africa tuwe tunazurula kotę kotę. Kama watawala tunao khaaa
 
Sambamba na kanuni ya masuluhisho ya Afrika kwa matatizo ya Afrika, nchi zetu zina wajibu wa pamoja wa kuhakikisha tunashughulikia kwa haraka changamoto zilizopo za kiusalama ambazo zimeathiri pakubwa ustawi wa raia wasio na hatia. Ni muhimu sana kupata suluhu la kudumu ambalo linashikilia ukuu, kukuza ushirikishwaji na kuhakikisha kwamba watu wa DRC wanaweza kufurahia amani na usalama wa kudumu ambao wamekuwa wakitamani kwa miongo kadhaa. Tanzania ina wasiwasi mkubwa kuhusu ukosefu wa usalama unaoendelea mashariki mwa DRC. Mzozo unaoendelea sio tu kwamba unavuruga mataifa yetu ndugu, lakini pia unaweka dosari kubwa katika juhudi zetu thabiti za kuimarisha ushirikiano wa kikanda. Tunatoa wito kwa pande zote zinazohusika katika mzozo wa DRC kushiriki vyema katika mazungumzo, kuweka kipaumbele kwa ustawi wa watu wake na kujitolea kuishi pamoja kwa amani. ❞
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…