Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

Maelezo yako katika bandiko hili yanathibitisha tabia na mwenendo wa utakasishaji pesa. Wahusika kwenye mtandao wa aina hiyo huishika Serikali kwa kuwa karibu zaidi na mamlaka za udhibiti na uteuzi ili mambo yaende bila kuhojiwa.
Jiulize, kwa nini ukiwa na kiasi kikubwa cha pesa kwenye akaunti yako benki kisichotarajiwa, unahojiwa chanzo chake?.
 
Haaaaahaaaahaaaahaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Jamani mbavu zangu uwiii
Gwajiboy amemzidi mipunga na kondoo ndo maana bifu[emoji38]

Ila anapenda kulewa jamani mweeh
Angekuwa anakunywa amejificha, sema uzuri kondoo hata wakikuona unazini ukisema sio mimi kondoo wanaamini au watasema shetani kakupitia.
Sijui mimi nafail vipi.... Kuna mmoja nilimsikia anasema inakuaje unakuwa na gari zuri kuliko mchungaji wako, una gari mbili wakati mchungaji analo moja 🤣🤣🤣
 
Mimi kuna manzi mmoja nimeamua tu kumpotezea mazima. Niliplan kumuoa mwaka huu!

Ila kwa kitendo chake cha kusali kwa huyo Mwamposa, nikaona atakuja tu kunisumbua siku za usoni.
Mbaya zaidi ukute hana kazi kutwa kushinda kanisani na mikesha
Ungejua hujui
 
Weee mimi nina ndugu yangu kaokoka yani kila mtu kwake mwanga, kila jirani yake mwanga, anaua mijusi kuwa inatumwaga na wachawi, paka yeyote akikatiza anasema ni mwanga, yani yeye kila kitu hivyo
 
Sasa hapo mkuu unaona ni akili ya kawaida hiyo?...utoe hela yote ukose nauli[emoji848]

Yaan we ukiingia humo cha kwanza kabisa unapigwa msasa (juju)...hapo ndo unakuwa ndondocha mazima sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji2960][emoji2960][emoji2960]

Yuko na meena wake wanatafuta mkwanja wa lv Gucci na mapochipochi
Bado kidogo na yeye atakua anaenda Dubei shopping anakodi Ramossine au Roisi Roisi kama ya mondi na kupiga nayo mapicha
Wewe subiri mgogo atakuja kua mtamu kama Bushir wa Dibaland!
😁😁😁
 
Weee mimi nina ndugu yangu kaokoka yani kila mtu kwake mwanga, kila jirani yake mwanga, anaua mijusi kuwa inatumwaga na wachawi, paka yeyote akikatiza anasema ni mwanga, yani yeye kila kitu hivyo
Anaambiwa hivyo hivyo huko kwa manabii... Na ndio maana nikasema wale ni witch doctor waliochangamkaa
 
Weee mimi nina ndugu yangu kaokoka yani kila mtu kwake mwanga, kila jirani yake mwanga, anaua mijusi kuwa inatumwaga na wachawi, paka yeyote akikatiza anasema ni mwanga, yani yeye kila kitu hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23]yeye ndio mwanga sasa. Hajui faida ya mijusi huyo
 
Bado kidogo na yeye atakua anaenda Dubei shopping anakodi Ramossine au Roisi Roisi kama ya mondi na kupiga nayo mapicha
Wewe subiri mgogo atakuja kua mtamu kama Bushir wa Dibaland!
[emoji16][emoji16][emoji16]
Haahaahaa ......atakuwa mcharo soon

Halafu haya mambo lazima pia utoe kafara!

Si unaona Dad Bushiri baada ya kumtoa his beloved daughter
 
Sasa hapo mkuu unaona ni akili ya kawaida hiyo?...utoe hela yote ukose nauli[emoji848]

Yaan we ukiingia humo cha kwanza kabisa unapigwa msasa (juju)...hapo ndo unakuwa ndondocha mazima sasa

kila kitu ni kwa kiasi na hata imani ikikulevya unakuwa kipofu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sema uwa ananiombea sana katika maombi yake
Wenye imani haba wakiomba kidogo maombi yao yanafika faster kuliko wa kukesha kanisani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawezi jificha kwa sabb kondoo wake wapo full kumtetea na kumsingizia shetani[emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji23]

Nisingekuwa namuogopa Mwenyezi Mungu na mimi ningeanzisha church nipige hela asee maana bongo vilaza wengi!
Easy money ile asee[emoji848]
 
Wahanga wakubwa ni house girls, divorced, ambao hawajasoma (la saba na form IV ) na wachaga
Hapo na wachaga naomba unifafanulie kwakweli.
Halafu kuna ambao shule ipo lakini nao wahanga vilevile.
 
Wenye imani haba wakiomba kidogo maombi yao yanafika faster kuliko wa kukesha kanisani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema ulokole ni kama katrend. Ila mwamposa anakula vichwa bwana, nilikuwa mwaka 2018 naishi sehemu mmama flani lishangazi jirani yangu Mwsilam ila anaenda kwa mwamposa kukanyaga mafuta. Sio kwamba alikuwa kaacha kuswali, ila alikuwa anaenda kwa mwamposa pia.
Yule jamaa inabdi aanze kutulipa kodi
 
kila kitu ni kwa kiasi na hata imani ikikulevya unakuwa kipofu
Inategemea unaamini nini. Unamuamini Mungu au zidumu fikra za baba mchungaji [emoji2957]
Maana unakuta mtu hajala pesa yote anampa mchungaji kwamba itarudi mara 10. Si bora upeleke hospitalini.
 
Weee mimi nina ndugu yangu kaokoka yani kila mtu kwake mwanga, kila jirani yake mwanga, anaua mijusi kuwa inatumwaga na wachawi, paka yeyote akikatiza anasema ni mwanga, yani yeye kila kitu hivyo

Hii ya kushuku kila mtu mwanga ni kweli 😂😂

kuna vitu vingine havipo hata kiroho ila mtu atalazimisha maana kashajengewa hisia za kila kitu ni adui na anatakiwa kupambana navyo.
 
Hakuna kitu hapo.
Asiyefanya kazi na asile!
 
Anzisha wewe fursa inakupita. Ila usije kuwa kama baba god wa mwanza. Hivi yule wa mwanza aliewaaminisha waumini wake kuwa yeye ni mungu sijui zumaridi aliishia wapi? Sijui hawakusanuka baada ya mungu wao kufungiwa na serikali wakajua kuwa yuko weak?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…